Magufuli amekosa exposure

Acha JPM afagie na kupanga nyumba yake kwanza ili siku ataanza kwenda huko nje baada ya kufagia na kupanga nyumba yake vizuri ili akaongeze huo ujuzi mwingine ili akirudi aboreshe zaidi. Ni kukosa busara kuanza kwenda kutembelea tembelea majirani wakati nyumba yako ni chafu. Sipingani na wewe.
 
aende akaibe au akanunue technology
 
mkapa na JK walitumia vibaya exposure yao wakawa vibaraka wa wazungu wakachemsha JPM awekinyume nao awakomalie wazungu wasitunyonye kila mtu afaidike
 
aende akaibe au akanunue technology
Yeye ataibàje bila kuwa na vision ya kitaifa ya kimaendeleo na Ku invest kwenye technical change na implementations ya issue zetu. Bila hivo kamwe tusipovifuata hatutapiga hatua hata akia nje ya nchi. Aanzie ndani
 
mkapa na JK walitumia vibaya exposure yao wakawa vibaraka wa wazungu wakachemsha JPM awekinyume nao awakomalie wazungu wasitunyonye kila mtu afaidike
Jk yeye alikua ka ndege angani na kula bataz had kubembea
mkapa na JK walitumia vibaya exposure yao wakawa vibaraka wa wazungu wakachemsha JPM awekinyume nao awakomalie wazungu wasitunyonye kila mtu afaidike
Jk yeye alikua ka ndege angani na kula bataz had kubembea kah magufuli akomae na huku ndani
 
Hii exposure ni mdudu gani? Mbona hao ulio wasifia wako na huo mdudu ndoo wametufikisha hapa tulipo.afadhali tuwe na raisi asiye kuwa na hilo dubwasha exposure kutuletea matapeli uchwala (wawekezaji)ndoo maana siku moja nilisema watz ni dead head.kuna njia nyingi za kujikwamua bila kuwategemea wazungu.mmoja mmoja, makundi.mwisho,tunavusha taifa
 
Ww ulioandika mm cjakuelawa unamaanisha nini kama lugha ya kingereza cc sio waingereza wananchi tunataka vitendo na uchapakazi ndio maana tuliokua na viongozi wabovu kwa kuangalia kingereza anagalia wabunge wameishia kidacho cha nne tazama wanavyotoa mada zilizomakini wakati hao walisoma masomo ya juu na mavyeti kibao wanafanya utumbo kila cku.mtu hajatoa mada wala kijibu hoja mpaka kikao kinakwisha na kingereza kama amezaliwa nacho acha hizo kingereza nikama lugha nyingine.cc tunataka kiongozi atakaeweza kuingoza vile tunavyotaka wananchi hasa wakipato cha chini nafikiri tumempata maraisi watatu wamepita lkn hawawezi kumfikia Magufuli ni mtu aliyejitolea muanga juu ya nchi yake.Mungu mpe maisha marefu.
 
mtoa mada hajaongelea kuhusu masuala ya lugha bali technology ya wenzetu kuwa ipo juu kuliko afrika
 
Haaa haaaa umenifurahisha eti Vasco alipondoka na Chopa kwenda Msoga asubuhi jioni karejea nayo Dar haaa haaa Mzee wa kubembea hataki mambo mazuri ya mkini yampitie kando.
 

Na JK ulikuwa unamfagilia safari zake ilikuwaje ??AU wakati ule Chumvi na sukari ilikuwa inapatikana nje ya nchi??
 
Kwani Mhe, Magufuli Masters yake aliipata wapi? Mimi sijasafiri kwenda nchi yeyote ile, lakini najitahidi kuufahamu ulimwengu kwa njia ya Internet. Tuseme Mhe. Magu naye haijui kutumia mtandao!
 
Mbona JK alipofululiza safari za nje ulimuunga mkono
 
Aise, kooote nimependa hiyo paragraph ya mwisho, kwamba sio wote wanaopenda kuishi mjini (hasa Dar) na mfano ulioutoa ni JK kuchukuliwa na chopa from Dar to Msoga (nadhani hapa ulitaka kutonesha kua sio wote wanaopenda kuishi Dar) lakini mara baada ya onesho hilo la Chopa to Msoga, jioni akageuza to Dar with the same Chopper; hi nimeipenda sana.
 
Tulitaka rais anaejua matatizo us wananchi wake, exposure ya nin!! Kikete kakimbia huko nchi iinaingia mifukonmwa watu, angekua lowasa toka aapishwe mpaka tuadhisha siku100 angekua bado germany anatibiwa nanlii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…