Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Wakuu, Magufuli alisikika akiwa Singida akisema kuwa yeye ndie aliewapanga Mwigulu Nchemba agombee wapi na Kitila Mkumbo agombee wapi.
Swali langu inamaaana Siku hizi kuombea ubunge ni kama nafasi za UDC? Za kuteuliwa? Hiii inaonesha list ya nani agombee wapi nchi nzima inapangwa na mtu mmoja tu, swali langu Kama hakupendi si ndio imekula kwako? Nauliza inamaana ule mfumo bora wa haki Ya kuomba nafasi Ya kugombea wa Ccm umekufa? Kwa hiyo Kwa sasa Ccm haina cha wanachana wa wilaya wala Kamati
Sio maneno Yangu ni maneno mliosikia toka Kwa mdomo wake, mliaambiwa kuwa akimaliza kuvuruga democracy kwenye vyama vya siasa atakuja kwenu hamkweelewa, na akimaliza kuuruga mfumo atakuja Kwa mwanachama mmoja mmoja.
Mkiambiwa kuwa Ccm ilishaporwa msiwe mnatokwa povu muwe mnaelewa.
Nafas ndio hii kamwaga ugali mwageni mboga ili mkose wote halafu muanze upya, nendeni Kwa wingi mkamkate.
Swali langu inamaaana Siku hizi kuombea ubunge ni kama nafasi za UDC? Za kuteuliwa? Hiii inaonesha list ya nani agombee wapi nchi nzima inapangwa na mtu mmoja tu, swali langu Kama hakupendi si ndio imekula kwako? Nauliza inamaana ule mfumo bora wa haki Ya kuomba nafasi Ya kugombea wa Ccm umekufa? Kwa hiyo Kwa sasa Ccm haina cha wanachana wa wilaya wala Kamati
Sio maneno Yangu ni maneno mliosikia toka Kwa mdomo wake, mliaambiwa kuwa akimaliza kuvuruga democracy kwenye vyama vya siasa atakuja kwenu hamkweelewa, na akimaliza kuuruga mfumo atakuja Kwa mwanachama mmoja mmoja.
Mkiambiwa kuwa Ccm ilishaporwa msiwe mnatokwa povu muwe mnaelewa.
Nafas ndio hii kamwaga ugali mwageni mboga ili mkose wote halafu muanze upya, nendeni Kwa wingi mkamkate.