Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,416
- 85,844
Mgombea wetu wa Chama chetu aliwahi kusema kuwa hana Mgombea na wala hajawahi kutuma mtu agombee, video hii hapa
Leo kabadilika anasema kwakuwa Mwigulu na Kitila wote ni Wadogo zake basi ameona mmoja abaki Huko na mwingine aende Ubungo na anataka wote washinde. Angalia attachment.
Tusiwe wasahaulifu, kuna maisha baada ya siasa. Tunakumbushana hatujatukana, yule ni Mzazi, Baba, na kiongozi!
"Mwigulu ninamfahamu na ninampenda sana, lakini Mwigulu ni kama mdogo wangu maana amesoma Chuo Kikuu na mdogo wangu na Prof Mkumbo naye nampenda ndiyo mana nikasema huyu agombee hapa na yule akagombee Ubungo na nataka wote washinde" - Rais Magufuli
Leo kabadilika anasema kwakuwa Mwigulu na Kitila wote ni Wadogo zake basi ameona mmoja abaki Huko na mwingine aende Ubungo na anataka wote washinde. Angalia attachment.
Tusiwe wasahaulifu, kuna maisha baada ya siasa. Tunakumbushana hatujatukana, yule ni Mzazi, Baba, na kiongozi!
"Mwigulu ninamfahamu na ninampenda sana, lakini Mwigulu ni kama mdogo wangu maana amesoma Chuo Kikuu na mdogo wangu na Prof Mkumbo naye nampenda ndiyo mana nikasema huyu agombee hapa na yule akagombee Ubungo na nataka wote washinde" - Rais Magufuli