KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
ina maana hao wabunge pamoja na hao wanaotaka kuandamana wanaamini hiyo sh 100 ambayo imekuwa ikilipwa kwa miaka nenda rudi pale kivukoni ndio iliyoiwezesha serikali kuweza kuboresha huduma pale kwa kununua kile kivuko kikubwa?sasa kwa nini kuambiwa wachangie kidogo gharama za uendeshaji iwe iwe nongwa?wabongo tupunguze stress za maisha kuna mambo kama tunaendelea kuishi hayakwepeki...