Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Jamani tuseme ukweli viongozi wa CCM ni sawa na maji ambayo haya sahau ubaridi hata ungeyapasha 100C mwisho wa siku yatapoa tu
Ingekuwa arusha kidogo ningeweza kuamini hayo maandamano ila dar mM. MafisiiiMnang'ang'ania nini uko kigamboni? kwanza kumeshauzwa na mnatakiwa kuhama, akufukuzae hakwambii toka kaka, chura upenda maji lakini c ya moto! jifunzeni kuogelea, mia mbili mnaandamana? hacheni upuuzi, mbona watu toka mbezi ya kimara mpaka town wanalipa nauli ya 1000 na watu wamekaa kimya? kivuko cha misungwi watu wanalipa nauli ya 300, kamanga sh 800 mpaka 1000, kupandishiwa mia tu mnapiga makeleleeee! kama vp amieni masaki au upanga. mkiandamana tu virungu na mtakomaje!
Tuombe taarifa za tishio la Al-shabab zisimfikikie Kamanda Kova la sivyo hakuna maandanano
Magufuli alikoroga
Maandamano makubwa kumpinga leo
na Abdallah Khamis na Chalila Kibuda
Maandamano ya kumpinga leo
Wakati hayo yakijiri, taarifa zimebainisha kuwa maandamano makubwa ya kumpinga Waziri Magufuli yatafanyika leo na kuwashirikisha wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu kikiwemo Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere.
Habari za kuaminika kutoka ndani ya chuo hicho zimesema kuwa tayari jeshi la polisi limearifiwa juu ya kuwepo kwa maandamano hayo na tayari wanafunzi wa vyuo, sekondari na wale wa shule za msingi ambao bado wako majumbani, wamekwishatangaziwa kushiriki maandamano hayo.
Hata hivyo, juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, kuthibitisha kama wameruhusu maandamano hayo, hazikufanikiwa baada ya simu yake ya kiganjani kuita muda mrefu bila kupokelewa.
Mnang'ang'ania nini uko kigamboni? kwanza kumeshauzwa na mnatakiwa kuhama, akufukuzae hakwambii toka kaka, chura upenda maji lakini c ya moto! jifunzeni kuogelea, mia mbili mnaandamana? hacheni upuuzi, mbona watu toka mbezi ya kimara mpaka town wanalipa nauli ya 1000 na watu wamekaa kimya? kivuko cha misungwi watu wanalipa nauli ya 300, kamanga sh 800 mpaka 1000, kupandishiwa mia tu mnapiga makeleleeee! kama vp amieni masaki au upanga. mkiandamana tu virungu na mtakomaje!
mimi hapo naona waheshimiwa wabunge wetu wa dar wanatafuta pa kutokea au cheap popularity,naomba ni wachallenge je kwanini wasitoe pendekezo la kutoa sehemu ya posho zao za ubunge kama ruzuku ya kufidia ongezeko hilo la nauli ya kivuko kama kweli wana huruma na wanachi wa dar es salaam lengo likiwa ni kuwapunguzia mzigo wananchi at the same time kuchangia gharama za uendeshaji wa kivuko?
hebu just imagine nauli ya sh.100 pale kivukoni imedumu kwa miaka mingapi bila kupanda huku serikali ikijifunga mkanda kuboresha huduma pale ikiwamo kununua kivuko kipya kile kikubwa,leo kuomba wananchi wachangie sh 200 wala sio 500 wabunge wanakuja juu wakati wao wanapokea mamilioni ya posho!!!! magufuli ningekua mimi ningekomaa tu acha waandamane na hao wabunge wenye matumbo makubwa mpaka yanataka kupasuka na hawaridhiki kutwaa kudai posho wanazitumia wapi?
Mnang'ang'ania nini uko kigamboni? kwanza kumeshauzwa na mnatakiwa kuhama, akufukuzae hakwambii toka kaka, chura upenda maji lakini c ya moto! jifunzeni kuogelea, mia mbili mnaandamana? hacheni upuuzi, mbona watu toka mbezi ya kimara mpaka town wanalipa nauli ya 1000 na watu wamekaa kimya? kivuko cha misungwi watu wanalipa nauli ya 300, kamanga sh 800 mpaka 1000, kupandishiwa mia tu mnapiga makeleleeee! kama vp amieni masaki au upanga. mkiandamana tu virungu na mtakomaje!
Kwanini? je hamuwaogopi tena Al-Shabab....Maandamano yawe Ijumaa baada ya Swala ya Ijumaa!
sina uhakika sana lakini nadhani wanaotoa tender pale ni watu wa city ambamo wabunge nao wamo kwenye vikao vya halamashauri kama madiwani,naomba kusahihishwa kama kama tender haitolewi na halmashauri ya jiji..magufuli yeye analia na vivuko vyake ambavyo havikununuliwa na jiji na wala hawaujui uchungu wake..vimenunuliwa na serikali kuu na viko chini ya wizara yake!watu wakizama leo pale kwa ubovu wa kivuko atakae takiwa kuwajibika ni yeye bwana pombe,sasa kwanini asichukue tahadhari ya kuwataka mchangie gharama za kukihudumia iko kivuko kinachowasidia nyinyi wenyewe!
Siasa kitu cha ajabu sana......
Yaani nauli kuongezwa sh 200 tu wabunge(tena ni wa CCM watupu) wanajifanya wana machungu na wananchi wao na kutishia kuandamana......
Binafsi naona hawa wabunge wanajitafutia 'umaarufu' tu na kutaka kuonekana wanatetea maslahi ya wananchi wao(kwa sh 200 ya kivuko!!!!!!!!!!!!).....
Nimeipenda sana hii!Maandamano yawe Ijumaa baada ya Swala ya Ijumaa!
I support you Romantic! this is real a cheap polarity seeking! I hope JJM is one of them, it is not up to his standards! yaani 200/= watu waandamane? aibu tupu!
Siasa kitu cha ajabu sana......
Yaani nauli kuongezwa sh 200 tu wabunge(tena ni wa CCM watupu) wanajifanya wana machungu na wananchi wao na kutishia kuandamana......
Binafsi naona hawa wabunge wanajitafutia 'umaarufu' tu na kutaka kuonekana wanatetea maslahi ya wananchi wao(kwa sh 200 ya kivuko!!!!!!!!!!!!).....
Mbunge wa Ilala Musa Azzan Zungu alisema lengo la serikali ni kusaidia wajasiriamali wadogo hivyo kuwapandishia gharama hizo kutaathiri mfumo mzima wa maisha yao kwa kile alichoeleza kila inapoongezeka gharama ya aina yoyote katika maisha ya kawaida anayeathiriwa ni mtumiaji wa mwisho ambaye ni mlalahoi.
Alisema katika mtazamo wa kawaida watu watafikiri kuwa kinachopingwa ni ongezeko la sh 200 toka 100, pasipo kuangalia athari la tukio zima kwa kuwa hata mwendesha guta itambidi aongeze nauli ya kusafirishia mizigo ya wafanyabiashara ambao nao wataongeza bei itakakayomgusa moja kwa moja mtumiaji wa bidhaa hizo.