Mkondakaiye
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 838
- 174
Hayo maandamano yameishia wapi, mbona sijayasikia tena.
Kuna tishio la Al shabaab/Hayo maandamano yameishia wapi, mbona sijayasikia tena.
....Urais wa 2015 huoooo umeyeya!
Aiseeekwangu mimi kupanda kwa nauli sio ishu sana ni kitu kinachozungumzika kama ikionekana inafaa ikarekebishwa. Ishu kubwa kwangu ni kejeli na madharau. Sasa kama anaanza kuleta dharau namna hii akiwa waziri anaeutolea urais udenda, akiupata itakuwa nongwa!
kwangu mimi kupanda kwa nauli sio ishu sana ni kitu kinachozungumzika kama ikionekana inafaa ikarekebishwa. Ishu kubwa kwangu ni kejeli na madharau. Sasa kama anaanza kuleta dharau namna hii akiwa waziri anaeutolea urais udenda, akiupata itakuwa nongwa!
Aiseekeshajiharibia tayari
Ni nomaaWazee wakufufua ma kaburi
Yametimiakwangu mimi kupanda kwa nauli sio ishu sana ni kitu kinachozungumzika kama ikionekana inafaa ikarekebishwa. Ishu kubwa kwangu ni kejeli na madharau. Sasa kama anaanza kuleta dharau namna hii akiwa waziri anaeutolea urais udenda, akiupata itakuwa nongwa!