Magufuli afunika Dar es salaam, Mwanza hapatoshi leo

Magufuli afunika Dar es salaam, Mwanza hapatoshi leo

KISESERA

Member
Joined
Sep 21, 2015
Posts
86
Reaction score
38
Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM DR. JOHN POMBE MAGUFULI katika mkutano wake wa kufunga kampeni jana kwa jiji la Dar es salaam alipokelewa kwa shangwe baada ya kumaliza mikutano mingine 6 ndani ya jiji hilo akiifanya sehemu mbalimbali kama vile Kigamboni, Mbagala, Sinza, Ubungo, Kibamba na Kawe (ambayo yotealipokelewa na maelfu kwa maelfu).

Katika mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya jangwani ulihidhuriwa na wananchi malaki kwa malaki, jambo lilioashiria ushindi mkubwa kwa CCM kutokana na muitikio mkubwa wa wanachama na wasio wanachama ambao wanaonesha kumuunga mkono ambapo inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 70% mpaka sasa wamejitokeza kumuunga mkono

Huko jijini Mwanza nako ni nderemo na vifijo kukiwa na taarifa kuwa wananchi wengi wanamsubiri kwa hamu toka juzi na maendeo yote ya jiji hilo wakiwa wamebandika picha zake na bendera za CCM wakijiandaa kumlaki
 
Hebu tuache ushabiki. Watu hata hawajaingia uwanjani... eti mwanza hapatoshi. Mwaka wa mabadiliko unawapa tabu sanaeeeee......
 
When will u stop to dream??? u ccmz....

Mimi nilifikiri mmechoshwa pia na mfumo hivyo kutumia muda wa kesho vizuri kumlipia mwanao ada ya shule awali hadi chuo kikuuu....
 
Eti Magufuli kafunika...hahaha WATANZANIA HAWADANGANYIKI TENA NA HUU UZUSHI WENU, watu wako busy wanasubiri kumsikiliza EDWARD LOWASSA na kumpa kura kwani ndio chaguo lao.
 
NYIE CCM HAMTUDANGANYI TENA ETI, watanzania tutampigia kura EDWARD LOWASSA KESHO.
 
lazima CHADEMA wakae mwaka huuuuu.....ama sivyo watakiona cha mtema kuniiiiii
 
mi nawashangaaa wanao shyabikia ukawa waka ti wanajua jamaaaa..kwa vyovyote vile haez kushinda ila wanajitoa ufahamu tuuuuu
 
Kushinda ccm ni jambo la kawaida sanaaaa....
Cha msingi ukawa wakubali matokeoooooo
 
Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM DR. JOHN POMBE MAGUFULI katika mkutano wake wa kufunga kampeni jana kwa jiji la Dar es salaam alipokelewa kwa shangwe baada ya kumaliza mikutano mingine 6 ndani ya jiji hilo akiifanya sehemu mbalimbali kama vile Kigamboni, Mbagala, Sinza, Ubungo, Kibamba na Kawe (ambayo yotealipokelewa na maelfu kwa maelfu).

Katika mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya jangwani ulihidhuriwa na wananchi malaki kwa malaki, jambo lilioashiria ushindi mkubwa kwa CCM kutokana na muitikio mkubwa wa wanachama na wasio wanachama ambao wanaonesha kumuunga mkono ambapo inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 70% mpaka sasa wamejitokeza kumuunga mkono

Huko jijini Mwanza nako ni nderemo na vifijo kukiwa na taarifa kuwa wananchi wengi wanamsubiri kwa hamu toka juzi na maendeo yote ya jiji hilo wakiwa wamebandika picha zake na bendera za CCM wakijiandaa kumlaki

Kafunika nini? Munajipa moyo sana kumbe hali yenu ni mbaya mno.
 
Eti Magufuli kafunika...hahaha WATANZANIA HAWADANGANYIKI TENA NA HUU UZUSHI WENU, watu wako busy wanasubiri kumsikiliza EDWARD LOWASSA na kumpa kura kwani ndio chaguo lao.

Stop dreaming braza.. Lowasa will never be da president of dis country.. Bado hujachelewa karibuu tukampe kura kesho magufuli
 
LOWASA is our president whether you like it or not.viva LOWASA.
 
Nimeshangaa sana hapa round about; wanachadema wamekubali; kuondoa bendera picha za raisi na wabunge kwa ihali na kuweka za magufuri;


makoroboi;

vijana wa chadema na viongozi wa hapa ; pia wanaondoa picha , bendera za chadema;

kama mlima wa babali unavyoanguka.

Siamini- ukorofi wa vijana wa makoroboi kiroho safi.

End of chadema , new era for ccm
 
Wamekubali mziki wa Magufuli hongera zao
 
Back
Top Bottom