MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,330
Leo yuko Geita na anahutubia kwa Kisukuma kwenda mbele. Anasema anazungumza Amani kwa sababu vyama vingine vyote havitaleta amani ndio maana hawaongelei amani na hivyo wasipewe kura.
Amesema hataki akiwa rais akitembelea Geita apokelewe na mbunge wa UKAWA.
Ni hotuba ya kiwango cha chini kabisa kusikia ikihutubiwa na mgombea urais. Hoja zinazoongelewa hapa ni nyepesi kuliko hata za wagombea udiwani. I'm sad kama huyu ndiye rais mtarajiwa. Magufuli is seem to be tired mentally and physically!!
Amesema hataki akiwa rais akitembelea Geita apokelewe na mbunge wa UKAWA.
Ni hotuba ya kiwango cha chini kabisa kusikia ikihutubiwa na mgombea urais. Hoja zinazoongelewa hapa ni nyepesi kuliko hata za wagombea udiwani. I'm sad kama huyu ndiye rais mtarajiwa. Magufuli is seem to be tired mentally and physically!!