Unaweza dhani ana huruma sana kumbe ni mbinu ya kisiasa tu. Kama kweli anajali kiasi hiki, mbona wale wengine aliwaambia wapige mbizi? Kweli siasa!!!
Huwenda wakazi wa Kigamboni nao wakapata hiyo nafuu au inaweza tafsirika kuna Double Standard kwa watanzania ambao katiba yao inasema wote ni sawa.Kwa Mh.Magufuli tendo hili linaweza kumkosesha kura za wale wanaotumia vivuko vya serikali huku wanalipia kama kigamboni,pangani nk..nk.Kama wanafunzi ni tegemezi,siyo wa huko Mtwara tu,hata wa Dar ni tegemezi.Ama kwa hakika Mwenyezimungu akita lake jambo hakuna wa kulipinga,hebu ona mtu anavyogawa watu ambao anategemea watampigia kura.
Kweli maana alisema wasio na 200/- wapige mbizi....................hawa ndio viongozi wanao jali wananchi.....................
kivuko kimegharimu milioni tatu na laki tatu (3300000 ) /= tu!!!!!!! tafadhali acha masiala,au umekosea kutaipu. Uwenda ulitakakusema bilioni 3.3.