Magufuli aagiza wanafunzi wasafiri bure

Magufuli aagiza wanafunzi wasafiri bure

Hiii si rushwa kwa tafsiri ya sheria ya uchaguzi

huyu ni mzee wa kuroboka tu hi ni rushwa moja kwa moja kinachotakiwa iwepo sheria hiyo kwa nchi nzima na yeye kama anataka awe anafuatilia kama inatumika
 
kivuko kimegharimu milioni tatu na laki tatu (3300000 ) /= tu!!!!!!! tafadhali acha masiala,au umekosea kutaipu. Uwenda ulitakakusema bilioni 3.3.

halafu kinachukua watu 100 tu na magari yasiyo julikana idadi nahisi kuna makosa mahali fulani
 
halafu kinachukua watu 100 tu na magari yasiyo julikana idadi nahisi kuna makosa mahali fulani

Kwenye habari nilisikia ni milioni tatu nikafiri nimesikia vibaya, sijui usahihi uko wapi! Ila Magufuri aache kupiga kampeni kabla ya muda!
 
Alikuwa wapi cku zote? Eti baada yakugombea urais ndo anaanza kuwaonea huruma? Aache unafiki magufuli hiyo tunaita ni takrima
 
kivuko kimeigharimu fedha za serikali 3.3 milion kweli? ufafanuzi hapo...
 
Back
Top Bottom