Kenya vivuko vyote bure kwa watembeao. Magari pekee ndiyo yanayochajiwa. Hili liserikali letu halina hata kitu kimoja linachokitoa kama service ya bure tu kwa wananchi wanaotoa kodi? Halafu wanataka washukuriwe kwa hili kama 'fadhila'. Kama hili lisirikali litarudi, daraja la Kigamboni watu watachajiwa shs. 1000.... Uroho wa pesa tu wa jiserikali hili. Kama wakichaji gari pekee sh. 2000 natumai zinatosha kwa mafuta na mishahara. Ila kuna mtu ataka apate zake kila mwezi!
Imagine mtu anaefanya kazi za ndani Dar anayelipwa 50,000 tu, nusu zitakwenda kulipia daraja!( Jiserikali letu halijali kuweka sheria ya malipo ya hawa wanaokandamizwa na wageni matajiri. Utakuta wanafanyishwa kazi masaa 16)