Magroup ya Harusi WhatsApp yanakera!

Magroup ya Harusi WhatsApp yanakera!

Teh si bora magrupu unaweze kumute ukachuunaa! Kuna hizi kadi na msg nina kadi nne zote zinafatana !hivi kwani kufanya harusi hadi uchangiwee?? Eboh! Yani mtu huna hata kagari ka mil 5 teh unataka harusi ya mil 7 mfyuu! Si utumwa huu?! We unataka kuoa mwakani anza kuweka vijisenti vyako waambie ndugu zako wakuchangie alika watu kulingana na bajeti siyo kusumbuana kwe cm ka deni!lnchi yenyewe ishakuwa ngumu hii tutaonana wabaya!oohoh! Loh!

Nadhani Tatizo ni Ugumu wa maisha (kwa kipindi hiki). Lakini dhana nzima ya kuchangia na kuchangishwa haina Tatizo. Sisi waafrika kwa utamaduni wetu tunaishi maisha ya pamoja (ya kijamaa). Na harusi ni kitu cha kipekee kwenye historia ya maisha.
 
Uko juu kama ni ma group ya kuanzia pesa hizi, waambie mfundishane jinsi ya kuzipata pia...labda utafurahia.

Ila michango mingine watu wanalazimisha kama vile ni lazima uwepo au uungane nao. Tabu unanukuliwa na kufatiliwa na unaishia kuvunja ma netiwokingi kama mtu haujipangi na wengine vizuri. Ni kazi
 
Heeeee!
Simu yangu mpaka sasa ina magrupu ka 8 ya harusi. Tena kwa mbwembwe wengine wanadai pledge ianzie 250,000 mara 300,000 mara 150,000. Heee, jamani, na huu uchumi uliobanwa na JPM bado nitoe milaki kila grupu? Na bado mnaniadd bila kunambia????

Hii kitu inakera aisee, TRA anzisheni kodi kwenye hizi harusi na grupu za whatsapp, tena watoe na lisiti la sivyo hiyo miaka 3 jela iwahusu. Mi harusi yangu hakuna michango, just naenda church namaliza ndoa kisha niliowaalika home watakuja na kula na kunywa kitakachopatikana!!!
Achana nayo simple!
 
Hapo ni kuleft tu hayo magroup.

Ishu ni kuacha tu kuchangia hizi harusi na mambo mengine kama hayo yasiyo Na tija.!
 
Teh si bora magrupu unaweze kumute ukachuunaa! Kuna hizi kadi na msg nina kadi nne zote zinafatana !hivi kwani kufanya harusi hadi uchangiwee?? Eboh! Yani mtu huna hata kagari ka mil 5 teh unataka harusi ya mil 7 mfyuu! Si utumwa huu?! We unataka kuoa mwakani anza kuweka vijisenti vyako waambie ndugu zako wakuchangie alika watu kulingana na bajeti siyo kusumbuana kwe cm ka deni!lnchi yenyewe ishakuwa ngumu hii tutaonana wabaya!oohoh! Loh!
inaonyesha umekereka sana. siku hizi kuna urafiki wa harusi. mtu anakutafuta akiwa na harusi tu.
 
Inaelekea una marafiki wa ajabu sana.

Inakuwaje anakuweka kwenye kundi la whatsapp bila idhini yako?

Kutoa mchango si inatosha? Hadi kuwekana kwenye makundi?

Kama hutoi waambie wazi kuwa hutatoa na wakuache uende kwa amani.
 
Teh si bora magrupu unaweze kumute ukachuunaa! Kuna hizi kadi na msg nina kadi nne zote zinafatana !hivi kwani kufanya harusi hadi uchangiwee?? Eboh! Yani mtu huna hata kagari ka mil 5 teh unataka harusi ya mil 7 mfyuu! Si utumwa huu?! We unataka kuoa mwakani anza kuweka vijisenti vyako waambie ndugu zako wakuchangie alika watu kulingana na bajeti siyo kusumbuana kwe cm ka deni!lnchi yenyewe ishakuwa ngumu hii tutaonana wabaya!oohoh! Loh!
Subiri uolewe mwakani tuone
 
Wahenga walipata kunena kuwa MAJUTO NI MJUKUU.....ukiacha hali ya utawala mbovu kwenye taifa letu lenye neema...lakini wakati mwingine umasikini wetu unatokana na matumizi mabaya ya rasilimali MUDA.....na huu mlindikano wa magroup ya kipuuzi kwenye mitandao ya kijamii ni kielelezo tosha cha jinsi gani hatuwez kuuthamini muda.....sasa kama huyu mtoa mada anaugawa vipi muda wake wa kuzalisha mali na kupiga soga kwenye hayo makundi nane....!!!?? Kwa kweli inashangaza.........

Ukweli ambao hautakiwi kusemwa ni kuwa tunaandamwa na umasikini kwa kuwa tumewekeza muda wetu mwingi na juhudi zetu nyingi kwenye mambo ya kipumbavu na yasiyo na tija kwenye maisha yetu.....na ndio maana kila siku tumekuwa watu wa kuwashangaa wale wanaopigania mafanikio yao usiku na mchana......na tukitoka kwenye usingizi huo wa ujinga na upumbavu wa kutumia vibaya muda wetu tunatafuta mtu wa kumlaumu kana kwamba sisi hatuja husika na huuo umasikini wetu......kabla ya kuilaumu serikali kuwa haikujali wewe mwenyewe kwenye juhudi zako umefikia wapi....???!!

Wakati sisi tunashindana kuchat na kupiga soga hata muda wa kazi...vijana wa kichina wanazunguka huko kariakoo wakitauta fremu za biashara.....wapo kwenye mabasi kwenda huko mikoani kutazama fursa mbali mbali

Lengo sio kila mtu kuwa tajiri au bilionea la hasha bali ni kuweza kukidhi mahitaji yale msingi.....
Bado wananchi wa taifa hili hawajui thamani ya muda......wakati watu wa mataifa mengine wakikimbizana na muda ili kufanikisha mambo yao kwa wakati huku unamkuta mzima anakuambia ngoja nikapoteze muda kwenye draft au bao......

Hata kama huna kazi wala kibarua kwa sababu yoyote ile basi usiutumie muda wako vibaya.....nenda hata kwenye maktaba ukajisomee kitabu uongeze maarifa.....au hudhuria hata semina za wajasiliamali......

NB; kila mtu atavuna kile alichokipanda.....
 
Nilishaamua kuwa mimi na harusi mbalimbali. Na sijali kama mtu atanichukia.ama la kwakuwa nafanya lile ninaloona.ni.sawa na.sio kuridhisha watu.
 
Mara nyingi watu wa hali ya chini ndiyo wanapenda sana mambo ya kifahari wakati uwezo hawana wanabaki kusumbua tu na usipotoa mchango hakika hakusalimii na hata kama alikuwa ni rafiki yako na urafiki unakufa kabisa.
 
Wahenga walipata kunena kuwa MAJUTO NI MJUKUU.....ukiacha hali ya utawala mbovu kwenye taifa letu lenye neema...lakini wakati mwingine umasikini wetu unatokana na matumizi mabaya ya rasilimali MUDA.....na huu mlindikano wa magroup ya kipuuzi kwenye mitandao ya kijamii ni kielelezo tosha cha jinsi gani hatuwez kuuthamini muda.....sasa kama huyu mtoa mada anaugawa vipi muda wake wa kuzalisha mali na kupiga soga kwenye hayo makundi nane....!!!?? Kwa kweli inashangaza.........

Ukweli ambao hautakiwi kusemwa ni kuwa tunaandamwa na umasikini kwa kuwa tumewekeza muda wetu mwingi na juhudi zetu nyingi kwenye mambo ya kipumbavu na yasiyo na tija kwenye maisha yetu.....na ndio maana kila siku tumekuwa watu wa kuwashangaa wale wanaopigania mafanikio yao usiku na mchana......na tukitoka kwenye usingizi huo wa ujinga na upumbavu wa kutumia vibaya muda wetu tunatafuta mtu wa kumlaumu kana kwamba sisi hatuja husika na huuo umasikini wetu......kabla ya kuilaumu serikali kuwa haikujali wewe mwenyewe kwenye juhudi zako umefikia wapi....???!!

Wakati sisi tunashindana kuchat na kupiga soga hata muda wa kazi...vijana wa kichina wanazunguka huko kariakoo wakitauta fremu za biashara.....wapo kwenye mabasi kwenda huko mikoani kutazama fursa mbali mbali

Lengo sio kila mtu kuwa tajiri au bilionea la hasha bali ni kuweza kukidhi mahitaji yale msingi.....
Bado wananchi wa taifa hili hawajui thamani ya muda......wakati watu wa mataifa mengine wakikimbizana na muda ili kufanikisha mambo yao kwa wakati huku unamkuta mzima anakuambia ngoja nikapoteze muda kwenye draft au bao......

Hata kama huna kazi wala kibarua kwa sababu yoyote ile basi usiutumie muda wako vibaya.....nenda hata kwenye maktaba ukajisomee kitabu uongeze maarifa.....au hudhuria hata semina za wajasiliamali......

NB; kila mtu atavuna kile alichokipanda.....

Mkuu nimekuelewa sana
 
Mhhh mi nakuchangia if ur in my circle, uko mbali hata mawasiliano hatuna for years sahau
 
Watu wengine hawatokagi out hadi siku za harusi ndo mana ts still a big deal kwao
 
Back
Top Bottom