Magroup ya Harusi WhatsApp yanakera!

Magroup ya Harusi WhatsApp yanakera!

Sasa baba hapo mshhara na allowance zote c unaacha kwenye group.. Cha msingi we tafuta kale kabuton ka EXIT GROUP kana rangi nyekundu katakupa msaada ....
 
Maisha ya Kutafuta sifa,
Hakuna kitu kibaya sana kama kusihi watu wengine wanavyo taka, hii ndo inatucost, kwa kifupi watu hawaishi wanavyo taka bali wanaishi watu wengine wanavyo taka, tunaishi kuwafurahisha watu, that is too bad,
Hii ndo inayo tugharimu sana, now day mambo ya kipuuzi puuzi yamekuwa mengi sana, You cant belive mimi siko kwenye group hata moja la whatsap kwa sababu siwezi kuwa kwenye ma group ukiwasha Dat unakutana na sms 500 ujinga mtupu.

TUJIFUNZE KUISHI VILE TUNAVYO TAKA NA SI VILE WENGINE WANAVYO TAKA
 
Heeeee!
Simu yangu mpaka sasa ina magrupu ka 8 ya harusi. Tena kwa mbwembwe wengine wanadai pledge ianzie 250,000 mara 300,000 mara 150,000. Heee, jamani, na huu uchumi uliobanwa na JPM bado nitoe milaki kila grupu? Na bado mnaniadd bila kunambia????

Hii kitu inakera aisee, TRA anzisheni kodi kwenye hizi harusi na grupu za whatsapp, tena watoe na lisiti la sivyo hiyo miaka 3 jela iwahusu. Mi harusi yangu hakuna michango, just naenda church namaliza ndoa kisha niliowaalika home watakuja na kula na kunywa kitakachopatikana!!!

Wewe umelazimishwa kuwa humo? Tatizo wabongo tunapenda sana maisha show off hicho ndo kitu kinacho tugharimu sana,
 
Back
Top Bottom