Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,301
- Thread starter
- #21
Mkuu you have got talent hongera sana...
Kweli JF kuna talent za kutosha kwakweli tuki-Stand Together... ni mengi tunaweza kufanikisha....
Tunaweza tukatumia Vipaji vya Watu Tofauti humu kwa Manufaa ya wengi..., Just Imagine nyie wanamashairi mkiungana mkawatungia wanamuziki wetu??????....... au mnasemaje?..... Hapa kuna Gold Mine ambayo hatutaki kuitumia.
Thanks for the compliments kwa niaba ya washairi kama kina Michelle, Pakajimmy, Magulumangu na wengineo tunahitaji ushirikiano wenu adhimu kwenye fani hii.
Shukran sana.