Magofu ya kitalii yakarabatiwe yatumike

Magofu ya kitalii yakarabatiwe yatumike

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,255
Reaction score
16,185
Majengo ya zamani ambayo sasa ni magofu kama Yale ya Kilwa, Bongoyo, mbudia, Isimila, Bagamoyo, nk yatakuwa na maana Kwa wananchi na watalii kama tutayakarabati kidogo bila kupoteza Sana Sura yake na kutumika Kwa shughuli za kibinadamu za kitalii kama vile migahawa ya kitalii, hotel, hostel, soko, nyumba za ibada, maktaba, ofisi za kitalii au makumbusho.
Hii itakuwa na maana Kwa kizazi hiki na kijacho badala ya kuwaonyesha watu magofu Tu kama magofu.
 
Majengo ya zamani ambayo sasa ni magofu kama Yale ya Kilwa, Bongoyo, mbudia, Isimila, Bagamoyo, nk yatakuwa na maana Kwa wananchi na watalii kama tutayakarabati kidogo bila kupoteza Sana Sura yake na kutumika Kwa shughuli za kibinadamu za kitalii kama vile migahawa ya kitalii, hotel, hostel, soko, nyumba za ibada, maktaba, ofisi za kitalii au makumbusho.
Hii itakuwa na maana Kwa kizazi hiki na kijacho badala ya kuwaonyesha watu magofu Tu kama magofu.
Kama nakuona unatazama safari chanel unachosema ni kwel mana majengo mengi yanaonekana kuchoka bila kuchukua hatua miaka ijayo yatapotea kabisa
 
Wabongo hatujiwezi katika kila sekta

na hayo maghofu utaambiwa hadi wapate msaada kutoka nje...'proposal hazijajibiwa'

Laiti hayo magofu yangekuwa yanahamishika wajukuu wa waarabu,wajeremani na waingereza wangeshayarudisha makwao
 
Wageni wanaonyeshwa mahame ya waarabu na wajerumani so what. Majengo mengi ya hivi waliyajenga sehemu nzuri sana Kwa usalama na starehe, kwanini Sisi tusirudishie mapaa yake na vyoo na umeme kisha watu wa kawaida na wageni wakayatumia Kwa kupata huduma zilizotukuka?

Mapango ya Amboni yangetengenewa Safi humo ndani ikawekwa migahawa na maduka ya vifaa vya kitalii na na vifaa vya kale na kumbukumbu vya mkoa wa Tanga. Maporomoko ya Kalambo hivyohivyo, nk. Jamani Nani katuroga?
 
Muda wetu mwingi tunafikiria namna tulivyoshinda uchaguzi, kuwapongeza waliofanikisha ushindi na namna ya kujiandaa na uchaguzi ujao. Na huyo ndiye mchawi wetu hasa na kwelikweli. Wanaofanya maamuzi wanapatikana Kwa formula hiyo na sio uwezo wao
 
Back
Top Bottom