✨️Magical Day ✨️

Sijui ila sijui kama Kuna binadamu anasumbuka na mimi ni upuuzi wake sio shida zangu

Ila kudhani Kuna wengine wanakufiria sana kuliko uhalisia nao ni ugonjwa wa akili

Maisha hayasimami hata usipokuwepo
 
Kijakazi Echolima1 Chizi Maarifa magical day yao walitoa tope jepesi
Kwa kuwa wewe ni Shoga unafikiri wote ni Mashoga kama wewe?

Unaanzisha Post ili utangaze Ushenzi wako humu kutwa kuchwa huoni raha bila kuzungumzia Ushenzi wako!! Na unataka kuligeuza Jukwaa hili liwe la kuzungumzia Ushoga wako tu?

Acha ujinga na upumbavu wako!!
 
Nyie mnaipataka kila siku😅 haiwezekana kuna ile kubwa kuliko kama lile bao la chama

Itakuwa imetokea miaka ming sana nyuma. Nishasahau.
Alaf first Love yangu ndio nimeioa.
mapenz yetu yale ya mwanzo yalikuwa ya moto usiooteka.
May be those days unaweza ukasema ndio zilikuwa magical days kwangu.

Waliosema Love Fade hawakukosea.
 
Lipia tangazo 🥹
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…