GE2025 Maggid Mjengwa: CCM ya Rais Samia haina kashfa

GE2025 Maggid Mjengwa: CCM ya Rais Samia haina kashfa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Na suti yake utafikiri kainyang'anya kwenye mwili wa marehemu
 
Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa akizunguza Clouds TV

"CCM na Mwenyekiti wao chini ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan hatusikii sana masuala yenye kuhusiana na kashfa na hatusikii sana masuala ya ufisadi. Alisema hatakuwa na Mswalie Mtume na wale ambao wanachukua pesa za wananchi. Hayo ndio maneno ambayo wapiga kura wanataka kuyasikia"

Huyu pimbi akili yake fyatu maana kila jambo kanajifanya kujua.
 
Back
Top Bottom