GE2025 Maggid Mjengwa: CCM ya Rais Samia haina kashfa

GE2025 Maggid Mjengwa: CCM ya Rais Samia haina kashfa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,474
Reaction score
14,808
Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa akizunguza Clouds TV

"CCM na Mwenyekiti wao chini ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan hatusikii sana masuala yenye kuhusiana na kashfa na hatusikii sana masuala ya ufisadi. Alisema hatakuwa na Mswalie Mtume na wale ambao wanachukua pesa za wananchi. Hayo ndio maneno ambayo wapiga kura wanataka kuyasikia"

IMG_5445.jpeg
 
Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa akizunguza Clouds TV

"CCM na Mwenyekiti wao chini ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan hatusikii sana masuala yenye kuhusiana na kashfa na hatusikii sana masuala ya ufisadi. Alisema hatakuwa na Mswalie Mtume na wale ambao wanachukua pesa za wananchi. Hayo ndio maneno ambayo wapiga kura wanataka kuyasikia"

View attachment 3391782
Watu wanao potea sio kashfa, ripoti ya CAG sio kashfa .Deni la Taifa kuongezeka kwa kiasi kikubwa sio kashfa. YOU MUST BE A MORON
 
Maggid Mjengwa, Mchambuzi wa Masuala ya Siasa akizunguza Clouds TV

"CCM na Mwenyekiti wao chini ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan hatusikii sana masuala yenye kuhusiana na kashfa na hatusikii sana masuala ya ufisadi. Alisema hatakuwa na Mswalie Mtume na wale ambao wanachukua pesa za wananchi. Hayo ndio maneno ambayo wapiga kura wanataka kuyasikia"

View attachment 3391782
Anazeeka vibaya sana
 
1. Utekaji na mauaji ya wakosoaji.
2. Kufungia makanisa.
3. Kufunga wapinzani kwa kesi za kubumba.

Hizi siyo kashfa?? Huyu Mjengwa atakuwa anajenguliwa nyuma huyu.
 
SErikali hii ndio inayoongoza kwa kukuza deni la taifa, imeweka rekodi ya ukopaji huku matumizi ya pesa hizo hayaonekani...hiyo ni sifa nzuri?!
 
Maggid kawa bonge la chawa, facebook huko kapigwa spana vibaya.
 
Huyu mzee si alkua anaandika magezetini ktambo hiko nilkua namkubali sana,But now ni chawa mchafu…puhhh
 
Useless man
Ni aibu sana mtu unakuwa na umri hadi mvi zinaota chini halafu unakuwa chawa pro max.
 
Hakuna mwandishi mwenye akili yenye udamavu Kam Mjengwa...hajawahi kuwa Na mawazo huru, kazi yake kubwa Ni kusifiwa viongozi

Tangu Ni mdogo naona Malala zake akisifia viongozi...tangu enzi ZA Gazeti la Rai

Kama Kuna MTU ambaye ana Malala YA Majid aki.challenge government au CCM Kwa kuwa Na serikali legelege ..alete hapa

Jamaa ana akili kisoda.. aliye Karibu Na Rafiki yangu Mjengwa aliyeoa Mzungu...muulize kwanini TFF ilileta refa Wa nje...why TFF HAIKUIPA Yanga Ije Na refa wake
 
Back
Top Bottom