Mageuzi makubwa CCM

Ni kweli chama kubwa lakini akili ndogo,kichwa kikubwa ubongo mdogo
 
Kwa kifupi kimepoteza hadhi ya kuitwa chama cha siasa na sasa kimegeuka kikundi cha watu fulani kwa malengo fulani.
 
Fatu J,yukowapi?mnajua nyinyi wenyewe alaf hatuishiwi na kelele kilasiku vinasaba,vinasaba.mnafahamukabisa aliemuuza Fafu j,ebu mkamateni haraka mahakama ya mafisadi imedoda.
 
kwenye bold hapo ... unamaanisha watanzania.
 
CCM bwana! Hakuna cha mageuzi labda mngesema mapinduzi kwani watu ni wale wale Sera zile zile
 
Ivi kwa Ugumu huu wa Maisha, kuna mtu atathubutu kuwasikilza maccm kweli? Labda kama akili zake haziko sawa
 
Serikali ya ajabu Tanzania kweli hamna mafisadi?,kagoda,Meremeta na Wanufaika wa IPTL hiyo mahakama haiwahusu,kwa hiyo majaji wa mahakama hiyo hawana kazi,makarani hawana kazi,office attendant nao hawana kazi,kwa tafsiri nyingine hao watu wanalipwa bila kazi.
Sasa basi naomba serikali nyie wenyewe mtamke kuwa hawa ni wafanyakazi feki ova.
 
Nauliza masafa ya Uhuru FM pse
 
Leo sitoki kwenda kuokota makopo(ndiko niliko jiajiri) nitamsikiliza POLEPOLE, kama atatuletea ajira mbadala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…