hako kanyomi sasa hapo Ukonga, sidhani kama grup ya kwanza watamaliza oral leo
Naomba nijue ni maswali gani wanauliza sana kwenye usaili wa leo
naomba direction kutoka ubungo kwenda hapo bwalo la gereza la ukonga
Panda daladala za Gongo la Mboto hapo Ubungo, utashukia kituo kinaitwa magereza ni karibu na getini kabisa mwa gereza la Ukonga. Ingia pale uliza kwa afande or utawaona wenzio kibao wanaelekea ukumbini.
vipi watu walikuwa wengi sana kama Kule TRA???
hapana!
Watu sio wengi sana coz wamepanga kuwafanyia usahili watu 200 @ 6 days.
So jumlas ya wasailiwa ni 1200?,na vipi maswali Yao yahusiana na nini sana sana??