Magereza wameita kwenye usaili

naomba direction kutoka ubungo kwenda hapo bwalo la gereza la ukonga

Panda daladala za Gongo la Mboto hapo Ubungo, utashukia kituo kinaitwa magereza ni karibu na getini kabisa mwa gereza la Ukonga. Ingia pale uliza kwa afande or utawaona wenzio kibao wanaelekea ukumbini.
 
Panda daladala za Gongo la Mboto hapo Ubungo, utashukia kituo kinaitwa magereza ni karibu na getini kabisa mwa gereza la Ukonga. Ingia pale uliza kwa afande or utawaona wenzio kibao wanaelekea ukumbini.

vipi watu walikuwa wengi sana kama Kule TRA???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom