ULIMWENGU WA SASA MATUMIZI MAKUBWA NI YA ARTIFICIAL INTELLIGENCE (ROBOT) NOW WHATSAPP KUNA ROBOT MAARUFU KAMA WHATSAPP BOT.
""baadhi ya features zilizopo kwenye whatsapp bot""
1. VIEW STATUS HERSELF THEN JUST NOW 🙄📱Ina uwezo wa kuview status hata ukiwa offline muda wowote.
2. TUMA NYIMBO KWA ONE COMMAND 💿💻Unaweza mtumia mtu nyimbo yoyote ile kwa one command mfano unaandika tu "play Ruger bounce song" na nyimbo inaenda muda huo huo kama umedownload.
3. ALWAYS ONLINE 📱 Unaweza kuset always online. Yaani mtu akikutumia ujumbe muda wowote ataona ujumbe umefufikia hata kama upo offline.
4. ALWAYS TYPING 🖥️⌨️ Unaweza set always typing yaani 😂 hii kwa wale wazinguaji ndio mahala pake,, labda umeingia kwenye group ukaona group limepoa unaset tu always typing wadau kule kwenye group muda wote watakuona una typing wakati hata kama upo offline 😂🤭.
5. ALWAYS RECORDING 🎤 hii unaweza kuset muda wote uonekane una record hata ukiwa offline.
6. AUTOBIO 🎮 hii unaweza kuset kila baada ya dkk 1 bio yako iwe Ina jiupdate bio ni kule ambapo unaset kwa mfano labda ,, Busy au At school au available au sleeping nk.
7. PICTURE KUWA STICKER 📸 hapa pia unaweza ukaset ukaigeuza picture yako kuwa sticker kwa kureply kwenye picture unayotaka iwe sticker unaandika tu . sticker na inakuwa sticker muda huo huo.
8. MANENO KUWA VOICE NOTE 🫦 hapa unaweza kuandika labda "hello how are you doing" kwa maneno na ikawa voice note 😱.
9. UNAWEZA UKACONTROL MAGROUP YAKO YOTE hata ukiwa offline unaweza ukacontrol magroup kwa kuset bot kwa mfano hutaki mtu atume link kwenye group lako utaset mtu akituma link itampa onyo mara ya kwanza mpk mara tatu alafu ika mzuia kwa muda au kumtoa kwenye group
Hii ni introduction tu ila Kuna features zaidi ya 300+
Tunatengeneza bot kwa Tzs =/2000 tu
Contact: nitumie massage Whatsapp +255623553450
Pay after work ✅