Haya yanaendeleza status quo ya serikali.Je kuna independent journalists ?
Wanaweza kuandika na kukemea uovu na rushwa serikalini?
Namwona Mengi yuko interested na biashara zake ,bora angeacha magazeti ,maana hakuna tofauti na Mzalendo,Uhuru au Daily News.
Wanaweza kuandika na kukemea uovu na rushwa serikalini?
Namwona Mengi yuko interested na biashara zake ,bora angeacha magazeti ,maana hakuna tofauti na Mzalendo,Uhuru au Daily News.