Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Wakuu naomba kujuzwa iwapo magazeti ya Alasiri na Darleo yameondolewa online.
Mimi nipo mikoani, nahitaji kufuatilia habari za mchana hasa sakata hili la mgomo. Kila nikigoogle sipati kitu, na mbaya zaidi nikiingia kwenye web ya alasiri, inadnidirect kwenda IPP Media. So, mwenye kujua hili naomba aniwekee links zake hapa.
Mimi nipo mikoani, nahitaji kufuatilia habari za mchana hasa sakata hili la mgomo. Kila nikigoogle sipati kitu, na mbaya zaidi nikiingia kwenye web ya alasiri, inadnidirect kwenda IPP Media. So, mwenye kujua hili naomba aniwekee links zake hapa.