bhakamu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 770
- 721
Waungwana nijiandae Kwa kipi maana nakaribia kumiliki kigari Cha cc ndogo yaani 600cc terios kid. Ifahamike kuwa katika ukoo wangu hamna hata Mmoja aliye wahi kumiliki gari Mimi ndio naanzia.Na je hicho kigari naweza safiri nacho kutoka lakezone to mbeya? Wataalamu karibuni!