Snipper
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,336
- 2,173
Msaada kwenye tuta wanajamvi. Hivi haya magari yenye namba za usajili zinazoanzia na RAC ni ya taasisi gani? Nimekuwa nikiyaona sana mtaani lakin siyaelewielewi kabisa maana namba za magari ya serikali meng ni STK etc sasa hawa wao ni kitu gani? Nawasilisha!