Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 726
- 1,044
Ingefaa serikali kufanya upanuzi wa barabara ya iwambi to sinai then wapasue mlima mpaka relini ili kuwe na barabara za malori na gari ndogo,huo mteremko mara zote malori ndo chanzo kwa kufeli break,bora yakawekeanage gingi yenyewe kwa yenyewe huko