Daffi Jr JF-Expert Member Joined Jun 25, 2011 Posts 3,824 Reaction score 909 Jul 14, 2011 #1 Hawa ndo mapacha watatu,moja amejivua gamba,nani atavaa kiatu cha Rostam? Attachments magamba.jpg 2.5 KB · Views: 65
rosemarie JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 6,887 Reaction score 3,442 Jul 14, 2011 #2 lile lisukuma
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,030 Reaction score 59,683 Jul 14, 2011 #3 vijisenti
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,485 Jul 15, 2011 #4 Lowassa, siku hizi ameokoka, so ni mtakatifu.
G geophysics JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 904 Reaction score 167 Jul 15, 2011 #5 Daffi said: Hawa ndo mapacha watatu,moja amejivua gamba,nani atavaa kiatu cha Rostam? Click to expand... Kwani kujitoa CCM ndo kuacha wizi wa mali za serikali au kuacha kufanya ukatili kwa mali za wananchi....nyoka ni nyoka hata akijivua gamba ataendelea kuwa nyoka tu na gamba litaota lingine ndugu zangu.
Daffi said: Hawa ndo mapacha watatu,moja amejivua gamba,nani atavaa kiatu cha Rostam? Click to expand... Kwani kujitoa CCM ndo kuacha wizi wa mali za serikali au kuacha kufanya ukatili kwa mali za wananchi....nyoka ni nyoka hata akijivua gamba ataendelea kuwa nyoka tu na gamba litaota lingine ndugu zangu.