Echolima1 JF-Expert Member Joined Nov 2, 2019 Posts 8,997 Reaction score 7,616 Jun 2, 2025 #1 Magaidi wa Hamas wanaendelea kupigwa kila uchao baada ya maficho yao kuangamizwa. Ni kawaida ya Magaidi kujificha kwenye maeneo ya raia. Your browser is not able to display this video.
Magaidi wa Hamas wanaendelea kupigwa kila uchao baada ya maficho yao kuangamizwa. Ni kawaida ya Magaidi kujificha kwenye maeneo ya raia. Your browser is not able to display this video.
PureView zeiss JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 14,190 Reaction score 45,592 Jun 2, 2025 #2 Hatari sana
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 53,668 Reaction score 99,384 Jun 2, 2025 #3 Wakong'ontwe sana hadi waitike..."rabeka bwana mkubwa" ..!No mercy/
Kubwa la Maadui JF-Expert Member Joined Aug 13, 2019 Posts 7,962 Reaction score 15,730 Jun 2, 2025 #4 Echolima1 ukinipa sababu zenye mashiko za kuichukia urusi anachofanya Ukraine kuanzia leo ntashangilia magaid ya Hamas kumalizwa
Echolima1 ukinipa sababu zenye mashiko za kuichukia urusi anachofanya Ukraine kuanzia leo ntashangilia magaid ya Hamas kumalizwa