daniel sr. lighton
Member
- Feb 12, 2013
- 27
- 6
habari yenu wapendwa,,
ni matumaini yangu mko salama kabisa poleni kwa wale tunaosumbuliwa na maradhi,,,
nadhani asili MAFUTA YA UBUYU
Ni mafuta ya asali yalifanyiwa utafiti wa kina wa kisayansi na wanasayansi mbalimbali,ni mafuta ya asili yasiyochanganywa na kitu chochote kile.Mafuta haya hutokana na kukamuliwa kwa mbegu za ubuyu.
Mafuta ya ubuyu yana faida nyingi katika mwili wa mwanadamu,haijarishi mwanaume wala mwanamke,
Mafuta haya yana faida mbalimbali kama ifuatavyo;-
1.huzibua mirija ya damu iliyozibwa na mafuta.
2.mafuta ya ubuyu pia husaidia uzalishwaji wa mbegu za uzazi kwa wanaume na kwa wanawake pia.
3.vilevile mafuta ya ubuyu husaidia kurutubisha ukuaji wa kucha pamoja na nywele.
4.pia mafuta ya ubuyu huyeyusha mafuta yasiyo na kazi mwilini hivyo husadia kupunga mafuta mwilini.
5.mafuta ya ubuyu pia husaidia katika kupunguza uzito.
6.pia mafuta ya ubuyu husaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.
7.mafuta ya ubuyu husaidia katika uzalishwaji wa seli mwilini.
8.pia yanasaidia katika uzalishaji wa vimelea vya uhai yaani CD4.
Mafuta ya ubuyu pia yanaweza kutumika katika kupaka mwilini kutokana na faida zifuatazo;-
1.husaidia kulainisha ngozi.
2.pia husaidia katika uzalishaji wa vitamin D kwenye ngozi.
3.pia ni mazuri kutumika kwa watu wenye ulemavu wa ngozi.
4.pia huleta unyevu unyevu kwenye ngozi iliyokauka
inavoshauriwa
JUICE YA UBUYU
Ni juisi itokanayo na unga wa ubuyu bila kuongeza kitu chochote cha ziada,juisi ya ubuyu ni moja ya vitu vitokanavyo na ubuyu ambavyo na ubuyu,ubuyu ni tunda lenye vitamin C kuliko matunda mengine yote,hivyo inashuriwa kutumia juice hii mara kwa mara.juisi hii inamanufaa kadhaa mabayo ni pamoja na;-
1.hongeza na kuleta hamu ya kula.
2.huongeza kumbukumbu kwa mwanadamu
Juisi hii yaweza kutumika muda wowote ule ambao mlengwa atajiskia kutumia….
MAJANI YA UBUYU
Ni jani litokanalo na mche wa ubuyu au mti wa ubuyu,ni majani yenye faida mbalimbali mbali na zile faida za juisi ya ubuyu.
Faida za majani ya ubuyu ni kama zifuatazo..
1.majani ya ubuyu yanaweza kutumika kama mboga
2.pia yanatumika kutibu vidonda vya tumbo.
3.kuboresha mbegu za kiume na za kike
4.pia inatibu typhoid sugu.
5.huongeza nguvu mwilini.
kwa anaye hitaji tuwasiliane
0657 963 183.
.0767 102 880
ni matumaini yangu mko salama kabisa poleni kwa wale tunaosumbuliwa na maradhi,,,
nadhani asili MAFUTA YA UBUYU
Ni mafuta ya asali yalifanyiwa utafiti wa kina wa kisayansi na wanasayansi mbalimbali,ni mafuta ya asili yasiyochanganywa na kitu chochote kile.Mafuta haya hutokana na kukamuliwa kwa mbegu za ubuyu.
Mafuta ya ubuyu yana faida nyingi katika mwili wa mwanadamu,haijarishi mwanaume wala mwanamke,
Mafuta haya yana faida mbalimbali kama ifuatavyo;-
1.huzibua mirija ya damu iliyozibwa na mafuta.
2.mafuta ya ubuyu pia husaidia uzalishwaji wa mbegu za uzazi kwa wanaume na kwa wanawake pia.
3.vilevile mafuta ya ubuyu husaidia kurutubisha ukuaji wa kucha pamoja na nywele.
4.pia mafuta ya ubuyu huyeyusha mafuta yasiyo na kazi mwilini hivyo husadia kupunga mafuta mwilini.
5.mafuta ya ubuyu pia husaidia katika kupunguza uzito.
6.pia mafuta ya ubuyu husaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini.
7.mafuta ya ubuyu husaidia katika uzalishwaji wa seli mwilini.
8.pia yanasaidia katika uzalishaji wa vimelea vya uhai yaani CD4.
Mafuta ya ubuyu pia yanaweza kutumika katika kupaka mwilini kutokana na faida zifuatazo;-
1.husaidia kulainisha ngozi.
2.pia husaidia katika uzalishaji wa vitamin D kwenye ngozi.
3.pia ni mazuri kutumika kwa watu wenye ulemavu wa ngozi.
4.pia huleta unyevu unyevu kwenye ngozi iliyokauka
inavoshauriwa
JUICE YA UBUYU
Ni juisi itokanayo na unga wa ubuyu bila kuongeza kitu chochote cha ziada,juisi ya ubuyu ni moja ya vitu vitokanavyo na ubuyu ambavyo na ubuyu,ubuyu ni tunda lenye vitamin C kuliko matunda mengine yote,hivyo inashuriwa kutumia juice hii mara kwa mara.juisi hii inamanufaa kadhaa mabayo ni pamoja na;-
1.hongeza na kuleta hamu ya kula.
2.huongeza kumbukumbu kwa mwanadamu
Juisi hii yaweza kutumika muda wowote ule ambao mlengwa atajiskia kutumia….
MAJANI YA UBUYU
Ni jani litokanalo na mche wa ubuyu au mti wa ubuyu,ni majani yenye faida mbalimbali mbali na zile faida za juisi ya ubuyu.
Faida za majani ya ubuyu ni kama zifuatazo..
1.majani ya ubuyu yanaweza kutumika kama mboga
2.pia yanatumika kutibu vidonda vya tumbo.
3.kuboresha mbegu za kiume na za kike
4.pia inatibu typhoid sugu.
5.huongeza nguvu mwilini.
kwa anaye hitaji tuwasiliane
0657 963 183.
.0767 102 880