baba_la_kichaga
Senior Member
- May 15, 2017
- 127
- 54
Hii tabia inabidi serikali ifuatilie sana kwa ukaribu kwani bila hivyo watoto wetu watapata cancer baadae
Mkuu kama umepitia shule za bweni huwa wanaweka kwenye maharagemafuta huwa hawaweki hilo ninauhakika, chanzo cha halufu hiyo ni utunzaji mbovu wa unga wanaposaga hasa kama mahindi yamesangwa kwenye mashine za mafuta ya dizeli