Nimepata habari kuwa mafuta yataindimika tena Dar es salaam ,mwenye habari kutoka jikoni atujuze hapa jamvini ,mie mafuta huwa naweka ya sh 10,000/= kwa siku jamani nipeni uhakika nijiandae jamani
Nimepata habari kuwa mafuta yataindimika tena Dar es salaam ,mwenye habari kutoka jikoni atujuze hapa jamvini ,mie mafuta huwa naweka ya sh 10,000/= kwa siku jamani nipeni uhakika nijiandae jamani