Mafuta ya miski

Mafuta ya miski

anamila

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2017
Posts
227
Reaction score
356
Habari wakuu.... Ni miaka. Sasa nahangaikia tatizi langu bila kupona...!
( ndoto mbaya na za kutisha)
Katika pitapita zangu za hapa na pale nikakutana na matumizi ya miski kuondoa na kumdhoifisha jini mahaba..!

Niliamua kwenda kwenye maduka ya kisunna nikanunja kwa shilingi 5000..tu!!,

Ila nimeanza kutumia kichwa kinaniuma sana sana.... Naombeni wajuzi mnijuze je ni kawaida?

Kwa upande mwingine haya mafuta yananukia vizuri mno ( ni kama manukato hivi) ila nikinusa harufu Yake nakuwa km nataka kutapika..

Kila mmoja wa familia ananiambia kama ni pafyume basi awami hii nimejua kuchagua..


Naombeni kujua na kuhusu hospitali nimetoka hiko sasahivi sina ugonjwa wowote... Asanteni..!
 
Linanitesa na kuniingilia usiku... Kuota wafu, kula nyama, kuota nauuliwa... Dunia hadaa. Nimepaya sononi la kudumu
wapo watu watakusaidia nini cha kufanya hapahapa, ukikosa mtafute ustaaz mmoja anaitwa Said Hamis Mkama, yupo dar sina mawasliano nae lakini ukifanikiwa kumpata huyo mtu...Itakuwa kher....japo wapo wengi wanafahamu jinsi ya kuiondoa hiyo kadhia...pole sana
 
wapo watu watakusaidia nini cha kufanya hapahapa, ukikosa mtafute ustaaz mmoja anaitwa Said Hmis Mkama, yupo dar sina mawasliano nae lakini ukifanikiwa kumpata huyo mtu...Itakuwa kher....japo wapo wengi wanafahamu jinsi ya kuiondoa hiyo kadhia...p;le sana
Asante mkuu... Kwa msaada wa Mungu naamini siku moja nitapona tu.
 
I’m on the way
We ain't got no time to waste
Popping your gum on the way
Am I in the way?
I don't want to pressure you none
I want your blessing today
Oh by the way, open the door by the way
Told you that I'm on the way
I'm on the way, I know connection is vague
Pick up the phone for me babe
Dammit, we jammin'
 
Asante mkuu... Kwa msaada wa Mungu naamini siku moja nitapona tu.
“ULIMWENGU WA MAJINI NA VITUKO VYAO” kilichoandikwa na sheikh Said Hamis Mkama. Phone namba +255754913480 DSM.
E.mail:mkamasaid@yahooo.com
 
“ULIMWENGU WA MAJINI NA VITUKO VYAO” kilichoandikwa na sheikh Said Hamis Mkama. Phone namba +255754913480 DSM.
E.mail:mkamasaid@yahooo.com

simpigii promo, huyu mtu aliwahi saidia ndugu zangu karibia watatu miaka kumi iliyopita na sasa wako poa kabisa
 
simpigii promo, huyu mtu aliwahi saidia ndugu zangu karibia watatu miaka kumi iliyopita na sasa wako poa kabisa
Okay mkuu....! Kuna mida najiona kama vile mie tatizo langu ni sugu na sintopona... Kwa uwezo wa Mungu one day yes.
 
Habari wakuu.... Ni miaka. Sasa nahangaikia tatizi langu bila kupona...!
( ndoto mbaya na za kutisha)
Katika pitapita zangu za hapa na pale nikakutana na matumizi ya miski kuondoa na kumdhoifisha jini mahaba..!

Niliamua kwenda kwenye maduka ya kisunna nikanunja kwa shilingi 5000..tu!!,

Ila nimeanza kutumia kichwa kinaniuma sana sana.... Naombeni wajuzi mnijuze je ni kawaida?

Kwa upande mwingine haya mafuta yananukia vizuri mno ( ni kama manukato hivi) ila nikinusa harufu Yake nakuwa km nataka kutapika..

Kila mmoja wa familia ananiambia kama ni pafyume basi awami hii nimejua kuchagua..


Naombeni kujua na kuhusu hospitali nimetoka hiko sasahivi sina ugonjwa wowote... Asanteni..!
Hicho kichupa kinauzwaga 2000/= tu
Sijui kwa nini unaumwa kichwa.
Ila mie harufu yake huwa inanikera
Japokuwa yanaleta hamu sana
 
Okay mkuu....! Kuna mida najiona kama vile mie tatizo langu ni sugu na sintopona... Kwa uwezo wa Mungu one day yes.
Inawezekana hata huna tatizo zaidi ya mawazo yako ambayo yameshatengeneza uoga wa asili ndani yako.
 
Hicho kichupa kinauzwaga 2000/= tu
Sijui kwa nini unaumwa kichwa.
Ila mie harufu yake huwa inanikera
Japokuwa yanaleta hamu sana
Kuleta hamu inakuwaje jamani?? .. Maana mie mtoto yupo la 3 ila sijawahi kuwa na hamu.
 
Kuleta hamu inakuwaje jamani?? .. Maana mie mtoto yupo la 3 ila sijawahi kuwa na hamu.
Unaweka matone kwenye maji unanawia
Huko sirini au unapakaa direct.

Tatizo lako inaelekea lipo kiakili zaidi,
Jaribu kuipa akili yako uhuru(free your mind)
Au kama unaweza fanya meditation
Cc mshana jr
 
Okay mkuu....! Kuna mida najiona kama vile mie tatizo langu ni sugu na sintopona... Kwa uwezo wa Mungu one day yes.

umeomba ushauri, tunajaribu kukushauri, ni uamuzi wako sasa.......penye nia pana njia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom