Mafuta ya magendo

Mafuta ya magendo

MAFUTBOL

Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
34
Reaction score
10
Fukwe
ya Kawe Club inatumiwa na wahujumu uchumi kwa kutumia mianya ya uzembe
wa polisi wetu nyakati za usiku.Wanachokifanya ni kutumia mitumbwi
ambayo huambaa ambaa mpaka karibu na meli ambazo ziko kwenye foleni
kuelekea kwa ajili ya upakuliwaji wa mizigo bandarini.
Hii si habari ya kubuni ni kwa macho yangu nimeona wakati naenda
kuangalia fainali ya Madrid na Atletiko majira ya saa 4 usiku.
 
Mbona linafahamika hili mkuu, wiki inayoisha kuna askari polisi 16 walikamatwa kwa kusindikiza magari yanayosafirisha mali hizo. Lakini kama mpaka jana umeshuhudia wakiendelea inamaana serikali haipo makini katika kusimamia na kudhibiti uovu.
 
Ona sasa,yani wananchi tunang'ang'ania vitu vikalipiwe kodi ili kodi hiyo itumiwe na WALANCHI,wakati tunaelewa maranyingi mali za magendo huuzwa kwa bei nafuu kwani hazijalipiwa kodi hivyo humsaidia mwananchi,vitu vingapi vinalipiwa kodi ambazo hazizai maendeleo?,makampuni ya simu,uchimbaji wa madini,mahoteli,yanapewa miaka mingi kabla ya kuanza kulipa kodi,na miaka ikiisha KAMPUNI ANAUZIWA MTU MWINGINE,hatulalamiki.
 
Back
Top Bottom