Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 326
- 627
Mafuta ya kuka shibngapi huko kwenu sisi huku mafuta litre 5 elfu 30
Kweli ile miaka mi 5 iliopita tuliteswa sana naomba mama aongezewe mi 5 tenaNdo ivo mkuu lita moja 6000
Ya ufuta?Mafuta ya kuka shibngapi huko kwenu sisi huku mafuta litre 5 elfu 30
Wapi huko lita 5 elfu 30?Mafuta ya kuka shibngapi huko kwenu sisi huku mafuta litre 5 elfu 30
Huku kwetu mafuta ya kitimoto lita 5 tsh 10000Tiba ya kupunguza matumizi ya Mafuta,
Usipike chips,
Usikaange samaki,
Nunua nyama iliyonona, nk
Watu wakiacha kununua Mafuta yatashuka bei. Mambo ya demand na supply. Nakumbuka wakati nakipiga cha uzeeni niliyakremu halafu hayakutoka[emoji1][emoji1][emoji1]