Mafuta ya kujichua kwa wanawake

sasa inawezekana vipi,system ya jf inakubali mtu mwingine kuweka same ID?,sijasema ,Marcopolo original kafa,nilikua natest kupima reaction ya huyu impostor,ndo maana sikutaja ID ipi na marehemu yupi
 
Kwanza lazima umuulize anapenda kuwa mweupe?kama jibu ni ndio,hawezi kuacha kujikoboa anaweza akameza hata vidonge vya kumbadili ngozi bila wewe kujua,kama anapenda kuwa nyororo na mga'vu atumie tu baby care au coconut oil yanatosha
 
sijui kwa nini tatzo hili linawakumba wanawake wengi hivi, mimi wangu nimechoma makopo yote ya cream, nimemnunulia mafuta ya nazi parachutte, ila nahisi kanunua mengine mana huwa anavyopaka anajificha ficha, wakati mwingine anapaka mafuta bafuni
 
Fair & white lotion kopo refu la rangi ya Gold hii haichubui Mkuu...ila kwa uhakika zaidi nunua SH Amon...anabaki na ngozi yake anakua soft tu.
Kwani unafikiri hawajui kuwa kuna lotion za kuwafanya wawe laini,wanachohitaji wawe na karangi flani hivi ka weupe kama sio kujichubua kabisa,kuna mmoja ninafanya nae kazi nilikuwa najua ni mweupe,karudi juzi kutoka likizo,kwao vijijini,kumbe ni mweusi balaa...
 
apake whipped shea butter kikopo cha robo kilo ni 25,000. pia anaweza kutengeneza mwenyewe kwa kununua raw shea butter akamix na olive oil. vilevile anaweza kupaka mafuta ya nazi ya kupika mwenyewe
 
Mpige pvmbv vizuri ngozi itatakata na kung'aa hadi ushangae.. Niko serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…