RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Mwenzenu ninatatizwa na jambo moja nalo nihili la Umeme na maswala ya Dowans....
Nikifikiri kwa makini na kwakina natatizika, kweli hakuna mkono wa namna namna katika hili swala la kukatika umeme TANZANIA na hujuma ?
Hebu fikiri Rais JK Kikwete (Mheshimiwa) alitoa tangazo kua mitambo ya IPTL iwashwe, kisha tukaambiwa na kina Mh. Ngeleja kuwa Serikali imeagiza mafuta ya kutumia kwenye mitambo ya IPTL ARABUNI, Baada ya siku chini ya sita, tukataarifiwa kuwa mafuta yameletwa na merikebu ya mizigo...na yamefika bandari ya Dar es salaam yakisubiri kupakuliwa ili mitambo hiyo iwashwe...
Sasa najiuliza meli toka Arabuni huchukua siku ngapi ? Au mafuta yaliagizwa kabla ya ikulu kuzungumza? Bado najiuliza au tuliishapata dili la IPTL tulichokuwa tunasubiri ni mitambo izimwe nchi iwe kizani ?
Mimi naogopa hapa, na Hisia kua kunakitu nyuma ya sakata zima la umeme Tanzania inanijia...
Ni mawazo yangu.
kumbuka jambo moja best yangu, suala kubwa la kitaifa huwa halianzii ktk TV pale rais anpotoa tamko ili na wananchi wasikie, lazma tangu athari za kuonekana mgao utatikea hizi logistics zilianza, so mafuta kupakuliwa bandarini sino ajabu, pia raisi siku alipotoa tamko may be angesema tueact mapema mafuta ya IPTL tayari ndani ya one week mgao off. Issue hapa ni kwamba hakuna alternative japo IPTL na matatizo yake yote ili kunusuru uchumi ambao basicaly ni mkubwa kuliko kurun IPTL ilibidi iwashwe. Why hatujajiuliza IPTL imesimama bila uzalishaji mda gani imekuwaje wapo ready ready kutembeza mitambo? Tumekuwa tukiwataka viongozi wetu kuact quickly na ndio kimefanyika, hapa labda tujadili hela imetoka wapi? na je IPTL watauza umeme Tanesco kwa bei gani? ile ya mkataba wao bei juu sana? au wamepewa amri kuzalisha bure i mean wapewe tu running cost? ndo ya kujadili hapa