Umeambiwa yanatibu nini?Rejea kichwa cha habari...natafuta mafuta ya asili ya nazi au mzeituni kwa ajili ya tiba mbadala.......Npo shinyanga
Umenunua wap mkuu??pande zp???Kwenye maduka ya ya madawa ya asili yapo, juzi tu nmetoka kununua mafuta ya mzaituni (olive)
Nahitaji ya asili....Ambayo ni ediblenunua Minara 2000 mbona yapo kila mahali!
Nipo Dar mkuu yanauzwa kwenye maduka ya dawa asili huku
Bukenyenge ndo kule kwenye ile zahanati?
Mi nipo mwamashele! Nimetokea Ngofila!Bukenyenge ndo kule kwenye ile zahanati?