me fareed Member Joined May 29, 2023 Posts 18 Reaction score 9 Mar 20, 2025 #1 Tunajihusisha na uuzaji wa mafuta ya alizeti kutoka Singida kwa bei za jumla na rejareja kwa lita 1,3,4,5 na 20.. karibuni sana kwa huduma tuwasiliane +255623140090.
Tunajihusisha na uuzaji wa mafuta ya alizeti kutoka Singida kwa bei za jumla na rejareja kwa lita 1,3,4,5 na 20.. karibuni sana kwa huduma tuwasiliane +255623140090.
Godee jr JF-Expert Member Joined Apr 17, 2012 Posts 1,910 Reaction score 2,712 Mar 20, 2025 #2 Bei zipo wapi
R Risen man JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 20,003 Reaction score 54,080 Mar 20, 2025 #3 Yani ndoo ya lita 20 unauza laki na ishirini kweli? Hiyo bei hapana asee
milele amina JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 6,286 Reaction score 8,426 Mar 20, 2025 #4 Yule bibi mjinga kabisa! Wakati wa JPM Lita 5, tulikuwa tunanunua Tsh 14,000 Leo ni Tsh 35,000
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 20,028 Reaction score 16,150 Mar 20, 2025 #5 milele amina said: Yule bibi mjinga kabisa! Wakati wa JPM Lita 5, tulikuwa tunanunua Tsh 14,000 Leo ni Tsh 35,000 Click to expand... Yeye ndo anayeuza?
milele amina said: Yule bibi mjinga kabisa! Wakati wa JPM Lita 5, tulikuwa tunanunua Tsh 14,000 Leo ni Tsh 35,000 Click to expand... Yeye ndo anayeuza?
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 17,642 Reaction score 21,356 Mar 20, 2025 #6 Kwa bei iyo mm HAPANA. KAZI ni kipimo cha utu
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 22,350 Reaction score 27,995 Mar 20, 2025 #7 Zamaulid said: Yeye ndo anayeuza? Click to expand... Mbona anajenga mahospitali husemi kwamba yeye hajengi?
Zamaulid said: Yeye ndo anayeuza? Click to expand... Mbona anajenga mahospitali husemi kwamba yeye hajengi?
me fareed Member Joined May 29, 2023 Posts 18 Reaction score 9 Mar 20, 2025 Thread starter #8 Lita 1 ( 6500,) Lita 3(21000) Lita 4(27000) Lita 5(32000) Lita 20( 12500) lita 20 bei hubadlka kutokan na gharama za usafiri sehem ulipo..
Lita 1 ( 6500,) Lita 3(21000) Lita 4(27000) Lita 5(32000) Lita 20( 12500) lita 20 bei hubadlka kutokan na gharama za usafiri sehem ulipo..
me fareed Member Joined May 29, 2023 Posts 18 Reaction score 9 Mar 20, 2025 Thread starter #9 Godee jr said: Bei zipo wapi Click to expand... Lita 1 ( 6500,) Lita 3(21000) Lita 4(27000) Lita 5(32000) Lita 20( 12500) lita 20 bei hubadlka kutokan na gharama za usafiri sehem ulipo.
Godee jr said: Bei zipo wapi Click to expand... Lita 1 ( 6500,) Lita 3(21000) Lita 4(27000) Lita 5(32000) Lita 20( 12500) lita 20 bei hubadlka kutokan na gharama za usafiri sehem ulipo.