Mafuta mazuri ya wanaume

hamtaki ukweli mkuu?
 
Mkuu unataka makalio ya wanaume yawe malaini ?
 
Kamuuzie Ben Pol
Mimi baada ya kuachwa kuogeshwa na mama, mafuta hayajagusa huko
toka vyama vingi vianzishwe
 
Mimi sivaagi boxer, zawadi utanipa nini?
 
Halafu ndio huyu aliletaga uzi kutusema kwamba wanaume hatupaki wese makalioni akasema tangia Mama zetu waache kutupaka hatujawahi kupaka tena wenyewe baada ya kukua.na tutako twetu hutu tugumugumu tudogo kama skonzi mafuta ya kazi gani? Ila kwenye mtwangio huwa tunapaka
 
nalala nafunga duka asanteni mlioniungisha .mtaleta mrejesho hapa
 
hamtaki ukweli mkuu?

Daah shukrani kwa kunipunguzia stelesi za leo.
Ila kama kweli unafanya biashara hiyo basi umeshajiaribia.Kazi ya tangazo la biashara sio kutoa mawaidha bali kushawishi mteja kununua bidhaa yako kwa kutumia maneno matamu,ungesema mafuta mazuri ya ngozi ya wanaume,yanasaidia kufanya ngozi kuwa safi na yenye afya,hapo hata mie ungenishawishi,sasa wewe unaleta mambo ya kulainisha matako alaf unamwambia hivyo mwanaume wa kiafrika,tena usije ujajagwa ukamtangazia mtu live kwakutumia maneno hayo.unaweza kula kelbu moja ya kishkaji.

Mafuta,makalio,mwanaume/kiume ni maneno matatu ambayo hayatakiwi kuwa katika sentesi moja.
 
Wauzie wanaume wa dar wa mikoani sisi ni kazi tu hatuna muda kulainisha makalio
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…