Imekuwa ni masikitiko makubwa sana kwamba mafuta yameshuka a zaidi ya asilimia 50 na shilingi imeshuka kwa asilimia 10 to 15 lakini mafuta kwenye pump hayashuka tunanua kama yalivyokuwa $ 90 kwa pipa naamini sasa jumatano hii Ewura watafanya haki maana inasikitisha hakuna maelezo ya kujitosheleza