DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,131
Bei ya mafuta ghafi imepanda kufikia kiwango cha juu zaidi tangu Januari mwaka huu, baada ya Marekani kushambulia vinu vya nyuklia vya Iran.
Soma, Pia: Mafuta ghafi yapanda bei baada ya Iran kushambuliwa
Kuna hofu kuwa huenda bei hiyo ikapanda zaidi endapo Iran itafunga lango la Hormuz kama sehemu ya kulipiza kisasi. Lango hilo hupitisha wastani wa asilimia 20 ya mafuta ghafi duniani.
Soma, Pia: Mafuta ghafi yapanda bei baada ya Iran kushambuliwa
Kuna hofu kuwa huenda bei hiyo ikapanda zaidi endapo Iran itafunga lango la Hormuz kama sehemu ya kulipiza kisasi. Lango hilo hupitisha wastani wa asilimia 20 ya mafuta ghafi duniani.