Kenyans wamepigwa na shock tena after Energy and Petroleum Regulatory Authority (EPRA) kuongeza fuel prices for April–May cycle.
Petrol imepanda by Ksh28.69 na Diesel by a massive Ksh40.30 per litre. Hii inamaanisha sasa unajaza tank ukilia ndani ndani .
Mombasa ndio imefeel hii heat vibaya...
https://youtu.be/QIqjJSoPFQ4?si=3-ZD6Dz4OrPa60Oq
HOJA ZA UTETEZI WA SERIKALI HARAMU YA CCM ILIYOJIWEKA MADARAKANI KWA MTUTU WA BUNDUKI KUMTWISHA MZIGO MWANANCHI:
##Wanasema, wananchi acheni kulalamika, bebeni tu mzigo huu wa gharama kwa kuwa ni mwepesi sana na kwa kuwa:
1. Bei zetu CCM na...
Akichangia Bungeni Aprili 8, 2026, Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Eng. Ezra Chilewesa. "Tunaomba wanaotoa matamko serikalini, kama ni mtendaji huna experience ya kuongea, sisi wanasiasa tuna experience, waachieni wanasiasa waongee na wananchi, kwa sababu wana uzoefu wa kuongea na wananchi, na...
Bei ya mafuta ghafi imepanda kufikia kiwango cha juu zaidi tangu Januari mwaka huu, baada ya Marekani kushambulia vinu vya nyuklia vya Iran.
Soma, Pia: Mafuta ghafi yapanda bei baada ya Iran kushambuliwa
Kuna hofu kuwa huenda bei hiyo ikapanda zaidi endapo Iran itafunga lango la Hormuz kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.