Dar ilisimama leo hata maofisini tulitoka nje japo kushuhudia watu na magari na pikipiki zikiwahi kuelekea kumlaki Rais. Eti kuna nyambafu imesema ni wauza maji? kakuambia nani? Angalia katika magorofa tuliandamana kupitia veranda na madirisha kwa kuwa kikazi hatukua na fursa ila 25/10/2015 tutakuwa na fursa. Ohhhhhh Yes, fursa.😛layball: Goli la kidole hilo mpaka wata :lol: