Mafunzo ya ufugaji kuku, nyuki, samaki na kilimo cha matunda

Mafunzo ya ufugaji kuku, nyuki, samaki na kilimo cha matunda

Joined
Feb 14, 2015
Posts
46
Reaction score
38
Fursa toka PDPR ya mafunzo ya Ufugaji kuku, samaki, nyuki na kilimo cha Matikiti maji, nyanya, kabichi, pilipili hoho, matango, mapapai, embe, nanasi, nyanya chungu, karoti na usindikaji na usafirishaji njee ya nchi nafasi 85 nchi nzima,
washiriki watuziwa vifaranga, mizinga kwa punguzo watasaidiwa kuanzisha miradi yao na watapewa wataalamu wa kuwashauri na kufanya nao kazi.

Vigezo:
1) kuwa na nia ya kujikwamua kiuchumi,
2) ujue kusoma na kuandika kiswahili.
3) Kushiriki kambi ya siku tatu mkoani Njombe au Morogoro na gharama ya kambi ni TSH: 60,000/= kwa ajili ya mafunzo,chakula, vitabu na vitendea kazi.

mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 30 march, Mafunzo yatafanyika tarehe 3-5 April Njombe, waliopo mbali watosoma kwa masafa, Gharama ya fomu ni TSH: 5000/=
Bidhaa zako zitanunuliwa kwa bei nzuri zaidi ya soko la ndani.
kwa maelezo zaidi tembelea www.envaya.org/pdpr
 
fursa toka pdpr na amaidi ya netherland ya mafunzo ya ufugaji kuku, samaki, nyuki na kilimo cha matikiti maji, nyanya, kabichi, pilipili hoho, matango, mapapai, embe, nanasi, nyanya chungu, karoti na usindikaji na usafirishaji njee ya nchi nafasi 85 nchi nzima,
washiriki watuziwa vifaranga, mizinga kwa punguzo watasaidiwa kuanzisha miradi yao na watapewa wataalamu wa kuwashauri na kufanya nao kazi.

Vigezo:
1) kuwa na nia ya kujikwamua kiuchumi,
2) ujue kusoma na kuandika kiswahili.
3) kushiriki kambi ya siku tatu mkoani njombe au morogoro na gharama ya kambi ni tsh: 60,000/= kwa ajili ya mafunzo,chakula, vitabu na vitendea kazi.

Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 30 march, mafunzo yatafanyika tarehe 3-5 april njombe, waliopo mbali watosoma kwa masafa, gharama ya fomu ni tsh: 5000/=
bidhaa zako zitanunuliwa kwa bei nzuri zaidi ya soko la ndani.
Kwa maelezo zaidi tembelea www.envaya.og/pdpr

weka nafasi yangu tafadhari aseee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom