Mafunzo ya Red Brigade CHADEMA yakwama

Mafunzo ya Red Brigade CHADEMA yakwama

Ground Zero

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
342
Reaction score
95
Taarifa nyeti kutoka ndani ya chadema zinasema ahadi ya mafunzo imekwama kutokana na ugumu wa kisheria pamoja na uwezo wa kifedha unaoikabili chama kwa sasa. Je, wakati chadema kinatangaza kuanzisha mafunzo ndani ya wiki moja hakikujua ugumu wake? kilikurupuka?


 
Last edited by a moderator:
Tumeona hamna haja maana kuna vijana wameenda jkt baada ya kumaliza form six na wote ni CHADEMA!
 
Acha porojo, jibu kwa nini chama chako kimewadanganya watanzania
Kama si chama chako inakuhusu nini? Au ndio ushambenga? Pelekeni "sample" ya vyeti vya mafunzo ya Green Guard kwa Tendwa hajui wanafundishwa nini.
 
Chadema haija toboka kiasi hicho mpaka ikutonye wewe hizo tetesi,
We tuliza kisebusebu na kiroho papo, utakuja kusikia watu washahitimu mafunzo.
 
Taarifa nyeti kutoka
ndani ya chadema zinasema ahadi ya mafunzo imekwama kutokana na ugumu wa
kisheria pamoja na uwezo wa kifedha unaoikabili chama kwa sasa. Je,
wakati chadema kinatangaza kuanzisha mafunzo ndani ya wiki moja
hakikujua ugumu wake? kilikurupuka?




kumbe ni tetesi tu! tehe teh te te te teee...NOT COFIRMED YET.
 
Last edited by a moderator:
Unalala mchana ?ungekuwa hulali mchana nilitaka uje huku kwetu saa 10 alasiri siku j3 hawa jamaa wapo nawanapasha kweli sehemu kubwa ya zoezi lao ni shotokan mwalimu wao anaitwa labani uje uwaone
 
ima sure CDM walikwa wakisema kitu amabcho ni tayari.Na muda wowote wanaweza recall mamluki wake ktk majeshi.
 
Back
Top Bottom