Safi sana, ukiipata dojo wapeleke watt wakapate mafunzoSalamu kwa wote- kwa yeyote anaefahamu sehemu wanayofundisha mafunzo ya karate kwa watoto anijuze tafadhari- itapendeza zaidi sehemu hiyo ikiwa - Upanga- kisutu- au Ilala.
Ungkua magomeni ningekupeleka annex wanafundisha Goju RyuSalamu kwa wote- kwa yeyote anaefahamu sehemu wanayofundisha mafunzo ya karate kwa watoto anijuze tafadhari- itapendeza zaidi sehemu hiyo ikiwa - Upanga- kisutu- au Ilala.
Nenda Ilala boma pale ulizia, yupo sensei MgeniSalamu kwa wote- kwa yeyote anaefahamu sehemu wanayofundisha mafunzo ya karate kwa watoto anijuze tafadhari- itapendeza zaidi sehemu hiyo ikiwa - Upanga- kisutu- au Ilala.
kwa vijana 22 years bei gani wanafundisha vp kwa maeneo ya huku gongo la mboto ,ukongo,mombasaUngkua magomeni ningekupeleka annex wanafundisha Goju Ryu
huyu si ndo anaitwa sensei Yahya mgeni au nimekosea?Nenda Ilala boma pale ulizia, yupo sensei Mgeni
Hii sanaa nidhamu ndio kipaumbele chake ..hata kama utakuwa mtundu kwa yale anayofundishwa yatamfanya awe mpole sana lakini sio fala..akili itakuwa sharp sana.Mkishawapeleka huko watoto wenu mwafundishe pia nidhamu sio wajifunze waanze kusukuma watoto wenzao mitaani.
Naweza pata namba yake mkuuNenda Tabata-Kimanga Kuna jamaa yangu anafundisha Ninjutsu kuanzia watoto wadogo ni Mwalimu mzuri.
Hii sanaa nidhamu ndio kipaumbele chake ..hata kama utakuwa mtundu kwa yale anayofundishwa yatamfanya awe mpole sana lakini sio fala..akili itakuwa sharp sana.