mafunzo ya jkt 2013

mafunzo ya jkt 2013

Nani kakwambia wataajiri 2013. Subiri mpaka 2015 kuelekea uchaguzi. SAWA?
 
Some times jaman tuache kuwakatsha tamaa wenzetu, kam hujui ni bora kukaa kmya kulko kukurupuka pale mwenzko anapoitaj msaada, Ni hv mkuu kwa utaratbu na baadh ya infor toka kwa washaur wa mgambo wilayani nafasi za jkt kwa intek ya pil 2013 znaweza tangazwa mwez wa 6 so we cklzia or for mor any infor tembelea ofisi za washaur wa mgambo wlyan kwako
 
Usiwaze sana ndo uanaume huo subir mwez wa 6 andaa vyeti twende tukagangamale huko
 
me nafikir izo pesa zinazo2miwa na serikali kwa ajil ya mafunzo ya jkt kwa wanafunz wa kidato cha sita 2013 zifanyiwe mrad ambao mwisho wa xku 2tanufaika nao.....'
 
Wakuu nasikia mbali na watu kufa, ambalo inawezekana bahati mbaya, kwamba kuna ubakaji huko kwa mabinti kiasi kwamba wengi wanahofia kwenda wasijepata maradhi, hasa HIV. Je hilo ni kweli? Tusaidiane tuwatoe wasiwasi hawa mabinti.
 
pambaneni wakuu hakuna kulala mpaka kieleweke jkt wana!!!
 
Nimesikia zaidi ya vijana sitini (60) wamekufa,taarifa zimefichwa...pia kuna rushwa ya ngono,ubakaji na mazingira tatanishi ya mafunzo...mfano watoto wa kike kuingizwa maporini pamoja na wanaume kukata nkmagogo na kuchimba visiki
 
Kwani ni lazima kila mtanzania awe MJESHI si tugawane kazi wale wanaopenda jeshi watoe nafasi watu waende...hii kulazimishana ni madudu gani tena.....

Tena hii ishu ya dada zetu.....Hao wakuu wa hivyo vitengo wasitafute nafasi ya kuwachakachua dada zetu
 
Back
Top Bottom