Mafundi wazuri wa alminium tunapatikana

Mafundi wazuri wa alminium tunapatikana

kiba brown

Member
Joined
Mar 8, 2018
Posts
70
Reaction score
46
Alminium _tz
--------------------
Tatizo lolote kuhusu Alminium
-Windows/Madilisa
-Door/Milango
-Office partition/kugawa ofisi
-Cabinet /Makabat
Tunafanya kwa kiwango cha juu. Tunampa ushauli mteja kabla ya kuanza kazi kwa kumshauli rang gan ya alminium atumie ,kioo rangi gan awake iyo ni kaz yetu ya kwanza kabla ya kuanza kazi
--------------------------
Bei zetu ni nafuu ambapo kila mmoja anaweza kuzimudu .Muda na ubora wakazi ndo siraha kubwa yakazi yetu
--------------------------
Tunafika popote ndani ya Tanzania .kwa Dar es salaam usafili wa kufikisha mzigo kutoka officen adi site ni bure
---------------------------
Tupo Tabata Bima mawasiliano
Whatsapp no 0625813637
Call no 0625813637
KARIBUNI SANA KWA UJENZI WAKISASA

1600835551740.png

1600835588223.png

1600835631496.png
 
Hongereni tatizo vyuma ila kazeni wateja watakuja tu.
 
Kwanza hongereni sana. Ukiachilia mbali muonekano, nini faida ya ziada ya PVC dhidi ya Aluminium?

Dirisha la 4SM linaenda kwa bei gani?
 
Kwanza hongereni sana. Ukiachilia mbali muonekano, nini faida ya ziada ya PVC dhidi ya Aluminium?

Dirisha la 4SM linaenda kwa bei gani?

faida ni muonekano mzur ikikaa dirishan lkn mara nyingi huwa namshauri mteja wangu aweke alminium ni imara zidi ya pvc boss wangu
 
faida ni muonekano mzur ikikaa dirishan lkn mara nyingi huwa namshauri mteja wangu aweke alminium ni imara zidi ya pvc boss wangu

Ahsante mkuu, turudi kwenye makadirio ya gharama za dirisha la meter 2 kwa meter 2 (4 square meter) zikoje?
 
Kuna milango ya PVC inawekwa chooni na bafuni...inakuwa bei gani?
 
sikushauri milango ya pvc chooni maana pvc ni plastic ma pia huwa haidumu chukua alminium utengenezewe kiubunifu
bei gani? ili nilinganishe na mbao
Pia kuna mdau kaomba bei ya futi 4x4 apo juu...mi nimuongezee 5x5 na 6x6
 
Back
Top Bottom