Mafundi wazembe

Mafundi wazembe

GIUSEPPE

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2011
Posts
5,239
Reaction score
6,240
Kweli mafundi wengine wazembe sasa hivyo vitofali ndo kavipangaje?
Kupiga Kura (2).jpg
 
Hhahahahaaaaaa matofali yamebonyea kutokana na uzito wa lori linalopita hapo limebeba mzigo mzito.

Wanaume mnapata tabu sana, mkipishana na mdada aliyejazia lazima mgeuke nyuma wenyewe mnaita kiwi cha macho. Sie sony wega flat screen akuu hatuna shida tukipita kama sijapaka marashi wala huwezi jua hehehehee poleni.
 
Hhahahahaaaaaa matofali yamebonyea kutokana na uzito wa lori linalopita hapo limebeba mzigo mzito.

Wanaume mnapata tabu sana, mkipishana na mdada aliyejazia lazima mgeuke nyuma wenyewe mnaita kiwi cha macho. Sie sony wega flat screen akuu hatuna shida tukipita kama sijapaka marashi wala huwezi jua hehehehee poleni.
Wanaume tuko tofati sana; Mimi ndo sinaga mzuka na wadada km huyu. Mi napenda awe mwembamba kiasi.
 
to be honest huyu dada yuko vizuri huku kwa back
 
na wafanya usafi wazembe kweli yani hawasugui vikatakata hivyo vitofali
 
Kuna namna.....fundi si mzembe hata kidogo.
 
Garden wanalipisha hela nying tu ila hawataki kuirekebisha
 
na huyo fundi aliyeshona hiyo nguo mwizi mkubwa...kitambaa cha hapo mgongoni kakipeleka wapi...
 
Ntakaa hapa kwenye huu Uzi mpaka huyo Dada ageuke!
 
Mm nikafikiri huyo fundi kakosea kajenga eneo la wazi kumbe kajenga ndipo kabisa safi sana na huo mshono ndio
 
Hhahahahaaaaaa matofali yamebonyea kutokana na uzito wa lori linalopita hapo limebeba mzigo mzito.

Wanaume mnapata tabu sana, mkipishana na mdada aliyejazia lazima mgeuke nyuma wenyewe mnaita kiwi cha macho. Sie sony wega flat screen akuu hatuna shida tukipita kama sijapaka marashi wala huwezi jua hehehehee poleni.
Kuzaliwa mwanaume shida/kazi sana Kasinde.Mleta picha anajua hivyo ndo maana katudanganya na vitofali!
 
Last edited by a moderator:
Hii mada ngumu ngoja nikatafute msosi nitarudi baadae kuchangia
 
Hhahahahaaaaaa matofali yamebonyea kutokana na uzito wa lori linalopita hapo limebeba mzigo mzito.

Wanaume mnapata tabu sana, mkipishana na mdada aliyejazia lazima mgeuke nyuma wenyewe mnaita kiwi cha macho. Sie sony wega flat screen akuu hatuna shida tukipita kama sijapaka marashi wala huwezi jua hehehehee poleni.

Hivi wanawake ni nini huwageuza kumtizama mwanaume???
 
Back
Top Bottom