Mafundi wa mazda demio

ashy da don

JF-Expert Member
Jan 12, 2013
615
670
Habari za mda huu wakuu, nina gari yangu mazda demio old model. Imepatwa na tatzo la gear box, gari ilikua inapiga kelele kama vile gia zinaingiliana.
fundi wa kwanza alinambia bearing zimeisha nikanunua mpya na alipojarbu kueka bado tatzo likaendelea, nikamplekea fundi mpya na yeye pia akashindwa kusolve tatzo na kusema kuwa gear box imekufa, nkafkia makubaliano kuw nitafte mpya. Lakini mpaka mda huu hyo gear box sijapata nmezunguka gerezani, ilala kote hawana.
Kwa anayejua mtu anyeweza kunisaidia kupata hii gear box anisaidie, au kama kuna mtu anamjua fundi mtaalamu wa mazda anisaidie ili kama naweza kupata gear box inayoingiliana na hii..
Engine yake ni D3.
 
Transmission Mazda Demio


Huna ujanja, inabidi uagize nje tu, hizo gari niliwahi kuziulizia lakini kila fundi hakunishauri(wajua tena mafundi wetu wa tayota). Spare zake ngumu kupata.
 
Habari za mda huu wakuu, nina gari yangu mazda demio old model. Imepatwa na tatzo la gear box, gari ilikua inapiga kelele kama vile gia zinaingiliana.
fundi wa kwanza alinambia bearing zimeisha nikanunua mpya na alipojarbu kueka bado tatzo likaendelea, nikamplekea fundi mpya na yeye pia akashindwa kusolve tatzo na kusema kuwa gear box imekufa, nkafkia makubaliano kuw nitafte mpya. Lakini mpaka mda huu hyo gear box sijapata nmezunguka gerezani, ilala kote hawana.
Kwa anayejua mtu anyeweza kunisaidia kupata hii gear box anisaidie, au kama kuna mtu anamjua fundi mtaalamu wa mazda anisaidie ili kama naweza kupata gear box inayoingiliana na hii..
Engine yake ni D3.
Toa maelezo sahihi gearbox yk ni auto au manual ?
 
Gharama rahisi ni kuagiza Gear box nyengine, na baada ya hapo fasta bila kupepesa macho msukumie mbwigilambwigila yoyote asiejua magari
 
Habari za mda huu wakuu, nina gari yangu mazda demio old model. Imepatwa na tatzo la gear box, gari ilikua inapiga kelele kama vile gia zinaingiliana.
fundi wa kwanza alinambia bearing zimeisha nikanunua mpya na alipojarbu kueka bado tatzo likaendelea, nikamplekea fundi mpya na yeye pia akashindwa kusolve tatzo na kusema kuwa gear box imekufa, nkafkia makubaliano kuw nitafte mpya. Lakini mpaka mda huu hyo gear box sijapata nmezunguka gerezani, ilala kote hawana.
Kwa anayejua mtu anyeweza kunisaidia kupata hii gear box anisaidie, au kama kuna mtu anamjua fundi mtaalamu wa mazda anisaidie ili kama naweza kupata gear box inayoingiliana na hii..
Engine yake ni D3.
Ni PM kama uko Dar nkupe fundi nina demio pia alishanibadlishia gear box nadunda tu. Ni fundi msomi mwaminifu
 
Ni PM kama uko Dar nkupe fundi nina demio pia alishanibadlishia gear box nadunda tu. Ni fundi msomi mwaminifu
Shukran mkuu. Nilishaipata gear box mpya, ingawa nilihangaika sana. Kuhusu fundi ninaye kijana ninampata anajitahd kwa kweli. Ila tatazo likimshinda ntakutafta mkuu.
 
Mazda Demio ugonjwa wake mkubwa ni nini? Nasikia ni gari imara sana.
cc: itongo ashy da don
Mkuu binafsi sikupatwa na matatzo makubwa sana. Gari iilipark kwa miaka 3 ila nmeifufua yani engine nikigusa tu kama mpya.
Changamoto yake ni spear, hazpatkani kwa urahisi. Ila kwa miaka hii zinaptkana kwani at least watu wameanza kuzinunua. Ila ni gari ngumu sana.
 
Mkuu binafsi sikupatwa na matatzo makubwa sana. Gari iilipark kwa miaka 3 ila nmeifufua yani engine nikigusa tu kama mpya.
Changamoto yake ni spear, hazpatkani kwa urahisi. Ila kwa miaka hii zinaptkana kwani at least watu wameanza kuzinunua. Ila ni gari ngumu sana.

Nashukuru sana mkuu, nimechukua hii gari juzi baada ya kuchoshwa na Toyota. Nilichoona pia spare upatikinaji ni mgumu kama ulivyosema ni vitu vyake kama vya service ni bei kubwa. Mfano; Hydraulic 4 litres ni 130,000 TZS.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom